min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kitimoto kila siku? Ndio maana haupungui wewe😁😁Nimekumiss! Kitimoto lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitimoto kila siku? Ndio maana haupungui wewe😁😁Nimekumiss! Kitimoto lini
😣Tuongee habari za US! Nishaanza kupanga nguoTutaongea usijali ,tupia ngoma basi
Miss you too.Nimekumiss! Kitimoto lini
Kausha nipo kidimbwi wewe😁😁😣Tuongee habari za US! Nishaanza kupanga nguo
Unanidanganya wewe muongomuongo😑Kausha nipo kidimbwi wewe😁😁
Natafuta ndugu maenje huko nikazamie😂Miss you too.
Hicho kitimoto kimeshapepea yani hapa tufikirie new year maana huu mwaka tunaforce sana hadi mwaka wenyewe unatushangaa kama tupo kwenye right mind. Bongoo kweli bora uondoke ephe😁😁
Weuweeee! Kumbe tupo US ila hapa hatuko free kubonga!Tupia ngoma siwi huru kuzungumza hayo bhana😁😁😁
Unaweza zamia bila hata ndugu andaa m 10 tu kabla hiyo pesa haijakata kupata kazi ni chapNatafuta ndugu maenje huko nikazamie😂
Tafuta tu scholarship au umuombe ushauri mange jinsi ya kupata mubaba wa kizungu. Mbona chaap 😁😁Natafuta ndugu maenje huko nikazamie😂
We furahia tu maana unaweza kukuta min -me ni dealer wa figo na kongosho kutoka Africa. Unaenda US kutafuta maisha ila mwisho wa siku unampa mtu mwingine maisha😁Weuweeee! Kumbe tupo US ila hapa hatuko free kubonga!
Basi nakuja kule tupange mambo yetu☺️
Professional works au zile za hand to mouth na kupiga picha kwenye city parks 😁Unaweza zamia bila hata ndugu andaa m 10 tu kabla hiyo pesa haijakata kupata kazi ni chap
Umejitetea mapema sana 😁Apana mkuu 😁😁
Itabidi niongee na ndugu yangu Fanton Mahal anitafutie scholarship maenjeTafuta tu scholarship au umuombe ushauri mange jinsi ya kupata mubaba wa kizungu. Mbona chaap 😁😁
Min me ni mtu mzuriii sanaaa kama wewe hawezi fanya hivyoWe furahia tu maana unaweza kukuta min -me ni dealer wa figo na kongosho kutoka Africa. Unaenda US kutafuta maisha ila mwisho wa siku unampa mtu mwingine maisha😁
M10 tena natolea wapiii min me😣Unaweza zamia bila hata ndugu andaa m 10 tu kabla hiyo pesa haijakata kupata kazi ni chap
Kopa inarudi wiki mbili tu hiyo ukifika😁😁😁😁M10 tena natolea wapiii min me😣
Hivi kumbe mimi ni mtu mzuri 😁Itabidi niongee na ndugu yangu Fanton Mahal anitafutie scholarship maenje
Min me ni mtu mzuriii sanaaa kama wewe hawezi fanya hivyo
Kumbe hunipendi wewe😣Kopa inarudi wiki mbili tu hiyo ukifika😁😁😁😁
Yes! 😂Hivi kumbe mimi ni mtu mzuri 😁
Hii compliment itakuwa imekuja kwa udhamini wa brother ivan
Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?