Sentensi nyingi!ngoja kwanza, ukicopy sentensi nyingi au aya nzima ukaenda kupaste google haitokei kama aya
sema hamna shida google itakuletea majibu tu
Hongera sana 😎🙏Sentensi nyingi!
Nishafanikiwa asante
Huyo dada wamemtoe hukohuko Moshi, ni mzuri☺️🔥
Kwa nini wamtoe?Huyo dada wamemtoe hukohuko Moshi, ni mzuri☺️🔥
Ujanielewa nilichoandika?Kwa nini wamtoe?
Sana yaani ila kwa mbaaali anataka kufanana na yule Binti mjuaji 😁😂Huyo dada wamemtoe hukohuko Moshi, ni mzuri☺️🔥
😁😁 nikajua wamtoe moshi aje dar kwamba moshi tubaki na kina masawee tu🙄Ujanielewa nilichoandika?
Huyo dada ni mtu wa huko Atown!
Binti gani huyo enzo ake🙄🤔Sana yaani ila kwa mbaaali anataka kufanana na yule Binti mjuaji 😁😂
😁😂😁😁 Fake P anamjua huyo atakwambia hapaBinti gani huyo enzo ake🙄🤔
Marko 12:31 ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe..Mimi napenda kufurahi, dini yangu ni UPENDO na sio VITA☺️
Mambo ephen
Poa min meMambo ephen
Mimi nipo poa tu karibu tusome kitabu , the first 90 days😊Poa min me
Nimekumiss wewe☺️
Asante!Mimi nipo poa tu karibu tusome kitabu , the first 90 days😊
Unakula nguruwe nin?Asante!
HapanaUnakula nguruwe nin?