ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Sentensi nyingi!ngoja kwanza, ukicopy sentensi nyingi au aya nzima ukaenda kupaste google haitokei kama aya
sema hamna shida google itakuletea majibu tu
Nishafanikiwa asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sentensi nyingi!ngoja kwanza, ukicopy sentensi nyingi au aya nzima ukaenda kupaste google haitokei kama aya
sema hamna shida google itakuletea majibu tu
Hongera sana 😎🙏Sentensi nyingi!
Nishafanikiwa asante
Kwa nini wamtoe?Huyo dada wamemtoe hukohuko Moshi, ni mzuri☺️🔥
Ujanielewa nilichoandika?Kwa nini wamtoe?
Sana yaani ila kwa mbaaali anataka kufanana na yule Binti mjuaji 😁😂Huyo dada wamemtoe hukohuko Moshi, ni mzuri☺️🔥
😁😁 nikajua wamtoe moshi aje dar kwamba moshi tubaki na kina masawee tu🙄Ujanielewa nilichoandika?
Huyo dada ni mtu wa huko Atown!
Binti gani huyo enzo ake🙄🤔Sana yaani ila kwa mbaaali anataka kufanana na yule Binti mjuaji 😁😂
😁😂😁😁 Fake P anamjua huyo atakwambia hapaBinti gani huyo enzo ake🙄🤔
Marko 12:31 ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe..Mimi napenda kufurahi, dini yangu ni UPENDO na sio VITA☺️
Mambo ephen
Poa min meMambo ephen
Mimi nipo poa tu karibu tusome kitabu , the first 90 days😊Poa min me
Nimekumiss wewe☺️
Asante!Mimi nipo poa tu karibu tusome kitabu , the first 90 days😊
Unakula nguruwe nin?Asante!
HapanaUnakula nguruwe nin?