Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
😅Mimi navyopenda kupiga mbonji! Usiniambie😁😁 kuna kipindi huwa silali kabisa nikujiegesha tu😁
Inategemea lakini😁😁😅Mimi navyopenda kupiga mbonji! Usiniambie
Ila kweli😉Inategemea lakini😁😁
Nakumbuka nilipo kuwa advance kuna miamba ilikua inasoma, hakuna kulala mpka akili zinaruka halafu wote walikua watu wa kigoma sijui kwa nini😁😁Ila kweli😉
Kuna kipindi nilikua silali usiku nasoma tu
😂Watu wametumwa na kijiji!Nakumbuka nilipo kuwa advance kuna miamba ilikua inasoma, hakuna kulala mpka akili zinaruka halafu wote walikua watu wa kigoma sijui kwa nini😁😁
Na bado walikua wanapata chache😁😁😁😂Watu wametumwa na kijiji!
Hao ndio wanatusua maisha sasa!Na bado walikua wanapata chache😁😁😁
Mimi kawaida tu sio vizuri sana na sio mbaya sana😁😁😁Hao ndio wanatusua maisha sasa!
Wewe ulikua unapata ngapi😉
Hakuna cha kutusua maisha😁Hao ndio wanatusua maisha sasa!
Wewe ulikua unapata ngapi😉
Mimi sekondari nilikua na akili za kumwaga! Sisomi lakini nafauluMimi kawaida tu sio vizuri sana na sio mbaya sana😁😁😁
😁😁😁😁 huku Olevel ulikua bado haujajua kwichikwichi😜😜😜Mimi sekondari nilikua na akili za kumwaga! Sisomi lakini nafaulu
Nilivyoenda advance akili zikapungua
Chuo ndio usiseme ubongo umenisaliti🥲
😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri😁😁😁😁 huku Olevel ulikua bado haujajua kwichikwichi😜😜😜
Wanawake huwa wana vichwa vyepesi mno ila wakianza hizo mambo shuleni kwisha😁😁😁😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri
Niombee nimalize salama🥲Wanawake huwa wana vichwa vyepesi mno ila wakianza hizo mambo shuleni kwisha😁😁😁
Laiti ndio ningekua huyo mhuni😁😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri
Lini umeanza kuvuta bhangi?😂Laiti ndio ningekua huyo mhuni😁
Umalize nini?Niombee nimalize salama🥲
Mda tu😁😁Lini umeanza kuvuta bhangi?😂
Kula msosi😉Umalize nini?