Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuna baridi kali sana huku, mrembo yeyote anayezurura zurura humu hana pa kwenda, njoo huku tujikinge na baridi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Mimi navyopenda kupiga mbonji! Usiniambie😁😁 kuna kipindi huwa silali kabisa nikujiegesha tu😁
Inategemea lakini😁😁😅Mimi navyopenda kupiga mbonji! Usiniambie
Ila kweli😉Inategemea lakini😁😁
Nakumbuka nilipo kuwa advance kuna miamba ilikua inasoma, hakuna kulala mpka akili zinaruka halafu wote walikua watu wa kigoma sijui kwa nini😁😁Ila kweli😉
Kuna kipindi nilikua silali usiku nasoma tu
😂Watu wametumwa na kijiji!Nakumbuka nilipo kuwa advance kuna miamba ilikua inasoma, hakuna kulala mpka akili zinaruka halafu wote walikua watu wa kigoma sijui kwa nini😁😁
Na bado walikua wanapata chache😁😁😁😂Watu wametumwa na kijiji!
Hao ndio wanatusua maisha sasa!Na bado walikua wanapata chache😁😁😁
Mimi kawaida tu sio vizuri sana na sio mbaya sana😁😁😁Hao ndio wanatusua maisha sasa!
Wewe ulikua unapata ngapi😉
Hakuna cha kutusua maisha😁Hao ndio wanatusua maisha sasa!
Wewe ulikua unapata ngapi😉
Mimi sekondari nilikua na akili za kumwaga! Sisomi lakini nafauluMimi kawaida tu sio vizuri sana na sio mbaya sana😁😁😁
😁😁😁😁 huku Olevel ulikua bado haujajua kwichikwichi😜😜😜Mimi sekondari nilikua na akili za kumwaga! Sisomi lakini nafaulu
Nilivyoenda advance akili zikapungua
Chuo ndio usiseme ubongo umenisaliti🥲
😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri😁😁😁😁 huku Olevel ulikua bado haujajua kwichikwichi😜😜😜
Wanawake huwa wana vichwa vyepesi mno ila wakianza hizo mambo shuleni kwisha😁😁😁😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri
Niombee nimalize salama🥲Wanawake huwa wana vichwa vyepesi mno ila wakianza hizo mambo shuleni kwisha😁😁😁
Laiti ndio ningekua huyo mhuni😁😂Itakua! Wahuni sio watu wazuri
Lini umeanza kuvuta bhangi?😂Laiti ndio ningekua huyo mhuni😁
Umalize nini?Niombee nimalize salama🥲
Mda tu😁😁Lini umeanza kuvuta bhangi?😂
Kula msosi😉Umalize nini?