JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Tena mie ndiye niliufukua akipewa mshahara na jf asinisahau
jf pesa yake wanatoa kule kwenye maandiko ya nini sijui changes sasa huu mbichwa wangu unafikiri nitaandika nini nishinde..?
 
Dah! Min me unaniangusha🤔
Ephen ake
Min me ake
Kenzy ake
Hizi ni za wadada, wewe kazaaaaa💪
mwanaume anafundishwa uanaume tena! mbona mnaaibishana! nawe mfungulie pm ndo umfundishe! au tuwaache tuone panapovuja halafu wahuni tuje tupige kwenye mshono..😂
 
Back
Top Bottom