Mimi na min me mambo yetu tuachie sisi wenyewe upo!!??mwanaume anafundishwa uanaume tena! mbona mnaaibishana! nawe mfungulie pm ndo umfundishe! au tuwaache tuone panapovuja halafu wahuni tuje tupige kwenye mshono..😂
Shauli❌inatakiwa upende tu! sasa utavirekebisha lini..? mi ndo malaika wako sema unavunga hunioni shauli yako!
😁😁😁😁mwanaume anafundishwa uanaume tena! mbona mnaaibishana! nawe mfungulie pm ndo umfundishe! au tuwaache tuone panapovuja halafu wahuni tuje tupige kwenye mshono..😂
Wewe ni boss wangu☺️Mimi sio boss ephen 😁😁😁 wewe ndio boss mjini apa
Ebu nenda! Nataka uzi mzima nibaki na min mewewe ni mkurya et..?
Wewe ukiwepo min me anashindwa kuongea mambo ya siriusiponiomba sitoki,hivi unafikiri mimi sipendi chabo..?
😁😁😁😁 labdaWewe ni boss wangu☺️
😂Sijaanza mambo hayo miminiombe nitoke mwanamke mbishi wewe hivi si anapata tabu sana akiitaka!😅
Ulienda jkt?Kabisa ephen japo huyo ni tajiri yetu apa 😆😆😆
Ukilewa usichat! Umeandika nini?nikirudi nakuja kupost lipicha la uzazi wangu lazima nichafue hali ya hewa! na vile nimeyachana yamesimama dede yani ubaya ubwela leo...😂
No walioenda ni 2013 mimi 2012Ulienda jkt?
Mimi nilienda 2014☺️No walioenda ni 2013 mimi 2012