Hope Nita enjoy..Kama unapenda comedy utapenda Carol's second Act maana inachekesha , four weddings yenyewe ni nzuri inaelezea uhusiano katika marafiki wanavyoishi na hata Alita ni kama sci-fi
Hakika utazipendaHope Nita enjoy..
Kuna moja ya malovu niliipenda inaitwa friend with benefits!.. hii movie ujinga mwingi ndani yake..π
Miaka ya ujana niliwahi kumpenda binti alafu akapewa mimba na kuniomba nimstiri kwa kujitambulisha kwao kama mwenye mimba na baadae nitamuoa lakini mwisho wa siku alinipiga chini. Ni long story. Hapo nimekupa picha uone jinsi watu tushawahi humizwa lakina sasa tupo kwenye good marriage.What happened mkuu..?
Kwani umpendae yupo mbali nawe hapo?The Icebreaker nataka nirudi kupiga nyeto mkuu...upweke umenielemea
HapanaHave you ever watch this season "the hundred..?"
NullKwani umpendae yupo mbali nawe hapo?
Aisee pole ndugu ndo maisha hayo..Miaka ya ujana niliwahi kumpenda binti alafu akapewa mimba na kuniomba nimstiri kwa kujitambulisha kwao kama mwenye mimba na baadae nitamuoa lakini mwisho wa siku alinipiga chini. Ni long story. Hapo nimekupa picha uone jinsi watu tushawahi humizwa lakina sasa tupo kwenye good marriage.
Season zipo ngapiNi moja kati ya season nzuri sana kiufupi naweza sema it about survive. Ila Kuna vitu vingi sana ndani yake ambavyo unaweza kujifunza kuhusu uongozi,mapenzi,imani, technology,hulka za watu n.k hutajutia.
Ai siwezi hiyo.Zipo 7..[emoji28]
Jaribu kucheki namba si kitu hii imeisha kabisa.
Bado aisee vipi kuna uliyempata for your sisiter? πUsinishushe kihivyo mi mkubwa ati..! Ahsante kwa wish vipi ulishapata mshemeji au bado watafuta..?
Ni Demi .Mtaje hapahapa amua kumwaga Mambo hadharani..π
She likes it .. I was expecting kopa kopa β€οΈππ€π€Ni Demi .
Si ndo huyu anazikubaligi nada za kush? Skunk?Widi