Ukilewa usichat yaani usichafue hali ya hewa😂Ebu njoo nazo uje unifundishe kitu 😀
Nipo hapa 8.8 nakutazama kwa mbali ukinesa nesa 😀Ukilewa usichat yaani usichafue hali ya hewa😂
Unasema?😂Nipo hapa 8.8 nakutazama kwa mbali ukinesa nesa 😀
Toroka ujeUnasema?😂
Upo wapi nivae chap nijeToroka uje
Geuka nyuma unione hapa 8.8, nipo hapa kwenye hii meza iliyochongwa na mti wa mwembeUpo wapi nivae chap nije
Huyo unayemuona sio mimi! Mimi nipo kitandani nimelala kitambi juuGeuka nyuma unione hapa 8.8, nipo hapa kwenye hii meza iliyochongwa na mti wa mwembe
Acha uongo sio wewe ninayekuona hapo umevaa gauni ya draft kiuno nyugwi?😀Huyo unayemuona sio mimi! Mimi nipo kitandani nimelala kitambi juu
Sio mimi! Mimi nina kitambiAcha uongo sio wewe ninayekuona hapo umevaa gauni ya draft kiuno nyugwi?😀
Umekitoa wapi 😀Sio mimi! Mimi nina kitambi
Ninacho tokea mudaUmekitoa wapi 😀
Cha zaigoti au cha mafuta 😀Ninacho tokea muda
Cha mafuta😂Cha zaigoti au cha mafuta 😀
Hakina madhara hicho, tutakipunguza kwa mazoezi madogo madogoCha mafuta😂
Kabisaaaa!🙌Hakina madhara hicho, tutakipunguza kwa mazoezi madogo madogo
Toroka uje haraka, sisi ndio wazee tuliobaki hapa duniani tunaojua kulea 😀Kabisaaaa!🙌
Poa mchina☺️Mambo ephen
Toroka nikuue😏😏Poa mchina☺️