ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ngoma kalii!🙌 Nani huyo anakutesa min akee! Nipe kazi nikarudishe moyo wake nyuma😂Sikiliza ngoma hiyo 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma kalii!🙌 Nani huyo anakutesa min akee! Nipe kazi nikarudishe moyo wake nyuma😂Sikiliza ngoma hiyo 🤣
Wazee tunaujua mziki na mapenzi sio nyie chomeka aaaawh sijui nikupakie mkongo , 😅😅😅🎶Maneno mengi wanasema juu yako
Eti kuna kitu honey umenifanyia
Mganga sio sababu mimi kuja kwako
Ila mi mwenyewe moyoni nimekuchagua
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako
Kama ni gari ndio mapenzi yawe tight
MB Dogg man mi nishalinunua
Kama salamu honey we ukini-miss
Ni-beep baby mi nitakupigia
Nakutafuta nione sura yako
Nakutamani niwe karibu yako🎶
🙌☺️Hii nyimbo inahitaji uwe kwenye strong relationship
Mmmh! Sasa hapa unajipigia promo😎 kuna mtu ataibiwa muda si mrefu😂Wazee tunaujua mziki na mapenzi sio nyie chomeka aaaawh sijui nikupakie mkongo , 😅😅😅
MhmmmNiambie inahusu nini sijaisikiliza
Nipe intro mchina wanguMhmmm
Nani anaenda kupelekewa moto?🤔Kuna mwenye karanga na mihogo hapa
Zina mahusiano gani na moto? 😀Nani anaenda kupelekewa moto?🤔
Kama mkongo tu! Demu mwenyewe anakimbia anaweza kusahau hata kyupiZina mahusiano gani na moto? 😀
Ebu njoo nazo uje unifundishe kitu 😀Kama mkongo tu! Demu mwenyewe anakimbia anaweza kusahau hata kyupi