[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu huu wa motooo, ndo maana kipipa kimevurugwaaa balaaa, mda wotee kuwehukwaaa, kumbe kalambwaa na wajanjaa wamesengaa njee.[emoji23][emoji23][emoji23] Unamjua mzee wa nini kimetokea??
Basi bana nasikia kampiga mashine bibi bonge halafu kapita hivi, bibi analia kadata kawa chizi hajui ashike lipi aache lipi.!!
Kapagawa jukwaani km kichaa aiiiih nyie mji mzito huu.!! [emoji2223]
Yani mecheka dah! 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em nipenyezeee kulee uduguuu, nifaidi vyedii connection.
Woiiiiiih
😂😂😂 ila ujitahidi iwe na mvuto ili iende viralsawa ngoja nami nivujishe pilau langu nitafutwe nchi nzima kama wale wajeshi tena mimi siombi jokeri natafuna jokeri!
Kipipa hana jipya kawa chizi dadeq 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu huu wa motooo, ndo maana kipipa kimevurugwaaa balaaa, mda wotee kuwehukwaaa, kumbe kalambwaa na wajanjaa wamesengaa njee.
Akhiiiiiii JF nzitooo, naigawa bureeee mwayaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watuuu weuweeeee!!!!
Uduguuu em nitumiee kuleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mecheka dah! [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kichefuchefu tupu unaweza kutapika aloo!
Aiiiiiii nyie mi chitaki jomoonii 😂😂Uduguuu em nitumiee kuleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya chaap bhana wee!! Nasubiriiii
Wacha weee!! 😂😂😂usijali tena kinakuja kitu quality halafu au basi mengine simalizii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu unanichekeshaaa ujueee!! Kule kuvurugwa sio kawaida yaan.Kipipa hana jipya kawa chizi dadeq [emoji23][emoji23][emoji23]
This is JF unapokelewa km ulivyokuja.!!
Mzee wa upako kapita shwaaaahh halafu kapiga mikausho mikali. [emoji81][emoji81][emoji81]
Nasikia ukitaka ugomvi naye basi simulia story za kipipa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini ukabwee koo na wapokeajii wa ubuyuu tupo kukusaudia kuubebaa?Aiiiiiii nyie mi chitaki jomoonii [emoji23][emoji23]
Ubuyu ulinikaba koo huu nusu nikufwee!!
Imeshatafsiriwa angalia ngoma😁😁Nitafsirie☺️
Subiri☺️Imeshatafsiriwa angalia ngoma😁😁
😂😂😂😂😂 ana heka heka huyo Mr komweee. LolWacha weee!! 😂😂😂
Mzee wa nini kimetokea legendary halafu muhuni kitambo.!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu unanichekeshaaa ujueee!! Kule kuvurugwa sio kawaida yaan.
Unaijia pupa JF waijua, au waisikiaa? Watu wapo kuwapokea waja km wanavyojiletaaa.
Nawazaa huko kwa Bed, alifirigiswaa vipi, au hakutoa show ya maana? Mzee wa mithalii akaona ajipitiee kuleee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weraaaaa weraaaa.
Hizi ngoma za Anitta kumbe ni kali .Subiri☺️
Kireno najulia wapi🤔 mtafsiri ni enzo akeeeHizi ngoma za Anitta kumbe ni kali .
😂😂😂 hii ilinichekesha sana khaaa.!!Kwanini ukabwee koo na wapokeajii wa ubuyuu tupo kukusaudia kuubebaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majiraniiiii hukuuuuuu!!!!
Uduguuu unanifanyaa nawehukwaaa kwa kuchekaaa.Mzee wa nini kimetokea legendary halafu muhuni kitambo.!!
Vitu km vile kwake ni km kumsukuma mlevi, unaambiwa akacheck km yaliyomo yamo kumbe hamna kitu kipipa nyau mbovu mma nyingi 😂😂😂😂
Basi alivyoona hivyo akampa kikono ndio kupiga simu hazipokelewi, msg hazijibiwi mzee wa mafuta na maji kampotezea ss hivi ana pisi kali moja hivi ya moto inabembelezwa huko tsap na kubebishwa balaa.!!
Mzee wa nini kimetokea sio mtu mzuri kafanya machizi waongezeke usingizi haupatikani 24/7 yupo kushangaa km server za JF mana hata mods wana zamu.! 😹😹😹