ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kuna neno nimelisikia humo limenichekesha😂Mbona umecheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna neno nimelisikia humo limenichekesha😂Mbona umecheka
Kama kuilamba kama kuing'ata 😁😁😁😁Kuna neno nimelisikia humo limenichekesha😂
Hakuna cha dedication sisi wapenda ngoma tu😁😁😁Watu makini wa dedication. 🙂🙂
Mambo bebyWatu makini wa dedication. 🙂🙂
Hivo hivi tuu humo mumo. 🙂😂Hakuna cha dedication sisi wapenda ngoma tu😁😁😁
Dr uchwara.Mambo beby
Hakuna kula ngoma😁😁 au ngoja nikusakie ya kwako.Hivo hivi tuu humo mumo. 🙂😂
Upo gudi 😁🤣🤣Dr uchwara.
😂😂😂😂🙌 nikudedicatie nyimbo gani🤔Watu makini wa dedication. 🙂🙂
Nani kakufundisha matusi🤔Kama kuilamba kama kuing'ata 😁😁😁😁
Yeah tunapenda ngoma☺️Hakuna cha dedication sisi wapenda ngoma tu😁😁😁
Matusi yapo wapi hapoNani kakufundisha matusi🤔
Hilo neno ulilosema!Matusi yapo wapi hapo
Am good Dr. Vipi weweUpo gudi 😁🤣🤣
Movie huwa unaangalia?Hili kichwa lizito sana kusikiliza mziki😂😂😂
😂😂Ndio lakini za ma sniper na za mapangaMovie huwa unaangalia?
Hahahaha fujo tu.😂😂Ndio lakini za ma sniper na za mapanga
😂 Kuziangalia tu hazina shidooHahahaha fujo tu.
Hivi kwa nini mnasema shidoo badala ya shida ,huko daslam🤔😂 Kuziangalia tu hazina shidoo