JF Chat: All members chat

Shetani hatataja hata jina lako ataita tu "wale wa threesome nifuateni!!"πŸ˜‚
Kwa hiyo mipaja ndugu kula raha tu Mambo yanawenyewe haya..
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ tutapambana huko huko mbele ya safari mzeee.. ila siwezi ziacha raha hizi kamwe.. unaweka kitu huku kidogo ukitaka achia wazungu unapeleka huku inakutana na joto lingine inatulia alafu ukiwa threesome hutelemki kabisaaa 🚢🚢🚢
 
Bladifakini..πŸ˜‚
Pepo utaisikia tu,hivi hiyo tatu samu hao vimwana hawaoneani aibu kweli..?
 
Bladifakini..πŸ˜‚
Pepo utaisikia tu,hivi hiyo tatu samu hao vimwana hawaoneani aibu kweli..?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Threesome sharti uwafanye wawe marafiki kwanza.. bila kuwafanya kuwa marafiki lazima i fail.. au chukua marafiki walio shibana.. na hili ni zuri zaidi mfano hawa marafiki.. damu damu.. rahaaa bwanaa weeeee.. pepo ipo dunianj.. huko mbinguni ni kwa malaika na Mungu
 
Ushanishinda tabia ndugu! Hata hiyo forex ndio maana inakuogopa..πŸ˜‚

Leo umeweka mzigo..?
 
Kiswahili ulipataga ngapi..?πŸ˜‚
Unamatusi ya rejareja!.. shipa namaanisha kunona kwako nataka nikufanyie vurugu..πŸ˜ƒ
Kiswahili hata sikumbuki nilipata ngapi..etu
Hilo neno shipa lipo kwenye kamusi na maana uliyoiweka hapo?
 
Ushanishinda tabia ndugu! Hata hiyo forex ndio maana inakuogopa..πŸ˜‚

Leo umeweka mzigo..?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ndio kazi inanipa kula mkuu.. naendelea nayo mdogo mdogo kaka.. structure ya soko haijakaa sawaaa..

Ukishaanza threesome hutoa acha mkuu hasa ukutuna na rafiki.. nakuambia hutokaacha uache mzeeee.. unajiona kama mfalme.. unaweza usitamani usitoke home aiseee.. ndani hakuna kununianaaa
 
Msaada Anaeishi Tunduma..bei ya frem mjini kati na kodi za nyumba yenye vyumba viwili jiko sebure..??
 
Laleki..πŸ˜‚

Ulitumia muda gani kwenye forex mpaka hapo ulipo..?
 
Laleki..πŸ˜‚

Ulitumia muda gani kwenye forex mpaka hapo ulipo..?
since 2016 mkuu tunapambanaa sanaaa.... hapa napiga akili ya kuhama nchi kwenu.. si unajua Trader wote tunaendaga kuishi dubai
 
Una uwezo Sasa wa kunidunda🀣🀣🀣🀣

Yereee..but sii Sana😜
We nakudunda halafu...😜😁

Scrub inaweza kumaliza chunusi kabisa vipi mapunye..?
 
since 2016 mkuu tunapambanaa sanaaa.... hapa napiga akili ya kuhama nchi kwenu.. si unajua Trader wote tunaendaga kuishi dubai
Aisee namimi nakomaa zaidi mpaka kieleweke,mi nitaenda misri nikaone ma the mummy..πŸ˜‚

Mkuu fanya soft copy za vitabu au niandikie hata majina nitatafuta.
 
Aisee namimi nakomaa zaidi mpaka kieleweke,mi nitaenda misri nikaone ma the mummy..πŸ˜‚

Mkuu fanya soft copy za vitabu au niandikie hata majina nitatafuta.
Naamini sana forex katika uzoefu na candle structure, RM, nidhamu, soma sana uelewe bond na tabia zake VIX S&P 500.. interest rate na faida zake kati ya pair pair.. soma tabia za wawekezaji.. nitakupa mfano mdogo hapa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…