Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii nataka uchunguzi ufanyike na nikibainika nipigwe life ban naapa mbele ya wakili wanguNasikia enzo katuma picha zangu
Kwamba yeye ananijua sanaaa kuzidi mchumba [emoji23]
Jibu umefanya nini?Nitakupa laana [emoji16][emoji23][emoji16]
Wameniambia nimesambaza picha za watu huko pmNini shida biggie mbona umekabwa?
Wewe mwanamke hebu njoo homeWe kumbe hamnazo eeh! Siulimuanza mwenyeweee🙄
Nataka hajibu hiliUmesikia wapi?
Tayari na yeye aniombe msamaha kwa matusi aliyonitukanavincenzo siku nyingine ulisome game, afu pia muombe msamaha To yeye
🚮Wewe mwanamke hebu njoo home
Kwahiyo umuombe samahani kwa kumuattack kwa uongo?🙄Juu kwa juu!
enzo ake kasema sio kweli hivyo nimeyatia kwenye dustbin
Kwanini unaniambia hivyo haijaanzia hapo uliza chanzo why unanihukumu enewei Mimi ndio hamnazo thanks in advance [emoji22][emoji24]We kumbe hamnazo eeh! Siulimuanza mwenyeweee[emoji849]
Una akili sana☺️Kwahiyo umuombe samahani kwa kumuattack kwa uongo?🙄
Noumaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bahati yake angelala kachoka
The Stress Challengerr kuwa na adabuKuwa na adabu mkuu
Ulivyosema unaongeza bia.Yesuuu kwanini mama ake🤣
Kwahiyo umenuna🙄Kwanini unaniambia hivyo haijaanzia hapo uliza chanzo why unanihukumu enewei Mimi ndio hamnazo thanks in advance [emoji22][emoji24]
Si ndio hapoKwahiyo umuombe samahani kwa kumuattack kwa uongo?[emoji849]
Uache hizi pigoWameniambia nimesambaza picha za watu huko pm
Muogaaa hatareee, bila modes hatoboiiii.Hana jeuri hiyo kwangu ashukuru kajiwahisha kwa modes nimepewa onyo, alikuwa anaenda kuumbuka na mngejua true Colors zake zote.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe bila modes hutoboi umeamini?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi makamanda wa vita, tuna mbinu km zote.!!
See you next time….
Kwahiyo mimi takataka