Wee nae kumbee mpanaaaa? Woiiiiiiihkuna kitu umefanya wewe husemi
ngoja nitafuatilia huu uzi nitajua tu
mpaka Saint Anne kasema punga wewe umevuruga big time
Sawa ila huyo akiwa ajapacha chakula cha jioni anakuwa mkali sijui kwanini ππ ngoja nisikilize miziki hapa πππkuna kitu umefanya wewe husemi
ngoja nitafuatilia huu uzi nitajua tu
mpaka Saint Anne kasema punga wewe umevuruga big time
Coca Mpe pageπ€£π€£Wee nae kumbee mpanaaaa? Woiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivyo,ndo hivyo tunaokoteza okoteza tu, hakuna mbinu kamilifu
unatukanwa, unapigwa kimya, sawa tuπ
πππNimeshindwa kujizuia kuchekaNdio hivyo,
Mtu akiwa hayuko interested na wew hata ufanyeje, utahangaika tuu.
Huyu demu tulikutana akiwa anauguza mkono( alipata ajali.).
Jamaa yake alimuacha akiwa bado mgonjwa.
Mwanaume nikajitahidi kumpa psychological support plus medical advice za hapa na pale.
Kumshauri kwa sana kuhusu mazoezi.
Lakini wapi, sijaambulia chochote.
KUna pc za kazi kubwa kama gaming na designing.Kwan kazi ya PC ni nini jamani... eeh
Umechekeka nini jmn,?πππNimeshindwa kujizuia kucheka
Nimefurahi tuUmechekeka nini jmn,?
Hebu tia neno katika hiyo scenario iliyonikuta.Nimefurahi tu
Mbna unatingisha maka....loi wew
πππππππππππ
πππππππππππ
Nataka ya kawaidaKUna pc za kazi kubwa kama gaming na designing.
Halafu kuna hizi za kazi za kawaida kama kuplay movies, kutunza docs ,kucreate dcs n.k.
Fanya mpango nikupe hii yangu nilitaka kuiuza.Nataka ya kawaida
Leo nna Furaha sanaaaaaaaaaaaaaaMbna unatingisha maka....loi wew
Ukiwa na furaha ndio unatingisha mali?Leo nna Furaha sanaaaaaaaaaaaaaa
Fanya mpango nikupe hii yangu nilitaka kuiuza.