GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Mnunulie basi, tusaidianeHana simu😎
Unankopesha kwani🥺Ukinipa namba ya wakala unadhani nitarudishaje pesa yangu
Ninunuliee sim genuine man aninunulie PC 😌Hana simu😎
Hapana, am giving you a favour, you must return it in one way or another.Unankopesha kwani🥺
Safi sanaLeo niko home ncheki movie huku nasafisha koo na hii kitu...leo sinywi ngumu kumeza 😉😉😉
View attachment 3079240
Had akubaliMpka lini sasa?
Leo niko home ncheki movie huku nasafisha koo na hii kitu...leo sinywi ngumu kumeza 😉😉😉
View attachment 3079240
ni mwaka sasa toka nimekutana nae, na kila siku ni bora ya jana.Had akubali
Ragamuffin safi sana, hapa nimefungulia mziki mkubwa najiboost mpaka kukuche huku namsikiliza Busy Signal na Chris Martin
Mambo mambo tuHuna baya mwanangu sana sema week mzima umenisusa
Ushawahi ona naachaga😡Futa hii mwanangu
Pambana kijana😀ni mwaka sasa toka nimekutana nae, na kila siku ni bora ya jana.
Haya bhna.Pambana kijana😀
Hope urassa Fake P & ephen_ asanteni kwa upendo ndugu zangu....Mi binafsi moyo wangu umekufa....Nina asili ya hasira na katu hazitoisha I swear....mtu hujawahi mkosea,anakusema vibaya huko unapotezea...unavumilia....jamani huyu Kaka simfahamu hata sura jaman....hata tumbo hilo wanamwongelea ukubwa wake silijui....nimeanza masomo nikaongea Kama masihara usiku wa manane kuwa nahitaji msaada wa PC ....ulikuwa Kama utani watu wanajibu tunacheka....Bantu lady alianzisha uzi nikaomba Tena nichangiwe ....wakiona ni kitu nipo serious walinifata PM ....Hadi naandika muda huu nimefanikiwa kupitia michango hiyo Nani nilivyokuwa nayo nikajazia.Sasa nashangaa haya mazoea ya kutaka kunichafua sijui yametoka wapi.Ila niwe mkweli Sina asili ya kusamehe mtu aliyechagua kuniumiza makusudi....RAFIKI AKIGEUKA KUWA ADUI MEANS HAJAWAHI KUWA RAFIKI TANGU MWANZO.Aendelee kuumiza mioyo ya watu hakika atavuna
Dah..mejikuta nadondosha chozi🥺Hope urassa Fake P & ephen_ asanteni kwa upendo ndugu zangu....Mi binafsi moyo wangu umekufa....Nina asili ya hasira na katu hazitoisha I swear....mtu hujawahi mkosea,anakusema vibaya huko unapotezea...unavumilia....jamani huyu Kaka simfahamu hata sura jaman....hata tumbo hilo wanamwongelea ukubwa wake silijui....nimeanza masomo nikaongea Kama masihara usiku wa manane kuwa nahitaji msaada wa PC ....ulikuwa Kama utani watu wanajibu tunacheka....Bantu lady alianzisha uzi nikaomba Tena nichangiwe ....wakiona ni kitu nipo serious walinifata PM ....Hadi naandika muda huu nimefanikiwa kupitia michango hiyo Nani nilivyokuwa nayo nikajazia.Sasa nashangaa haya mazoea ya kutaka kunichafua sijui yametoka wapi.Ila niwe mkweli Sina asili ya kusamehe mtu aliyechagua kuniumiza makusudi....RAFIKI AKIGEUKA KUWA ADUI MEANS HAJAWAHI KUWA RAFIKI TANGU MWANZO.Aendelee kuumiza mioyo ya watu hakika atavuna