To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
πππ It's okay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sad....nimeumia yaan nimeumia Sana cuteDah..mejikuta nadondosha choziπ₯Ί
Dah
Pole sana dear machozi ulodondosha hayatomuacha salama...So sad....nimeumia yaan nimeumia Sana cute
Pole, japokuwa sijasoma yote.Hope urassa Fake P & ephen_ asanteni kwa upendo ndugu zangu....Mi binafsi moyo wangu umekufa....Nina asili ya hasira na katu hazitoisha I swear....mtu hujawahi mkosea,anakusema vibaya huko unapotezea...unavumilia....jamani huyu Kaka simfahamu hata sura jaman....hata tumbo hilo wanamwongelea ukubwa wake silijui....nimeanza masomo nikaongea Kama masihara usiku wa manane kuwa nahitaji msaada wa PC ....ulikuwa Kama utani watu wanajibu tunacheka....Bantu lady alianzisha uzi nikaomba Tena nichangiwe ....waliiona ni kitu nipo serious walinifata PM ....Hadi naandika muda huu nimefanikiwa kupitia michango hiyo nami niliyokuwa nayo nikajazia.Sasa nashangaa haya mazoea ya kutaka kunichafua sijui yametoka wapi.Ila niwe mkweli Sina asili ya kusamehe mtu aliyechagua kuniumiza makusudi....RAFIKI AKIGEUKA KUWA ADUI MEANS HAJAWAHI KUWA RAFIKI TANGU MWANZO.Aendelee kuumiza mioyo ya watu hakika atavuna
Una mqchozi ya karibuu eehDah..mejikuta nadondosha choziπ₯Ί
Dah
Asante kwa kushkuru..!Hope urassa Fake P & ephen_ asanteni kwa upendo ndugu zangu....Mi binafsi moyo wangu umekufa....Nina asili ya hasira na katu hazitoisha I swear....mtu hujawahi mkosea,anakusema vibaya huko unapotezea...unavumilia....jamani huyu Kaka simfahamu hata sura jaman....hata tumbo hilo wanamwongelea ukubwa wake silijui....nimeanza masomo nikaongea Kama masihara usiku wa manane kuwa nahitaji msaada wa PC ....ulikuwa Kama utani watu wanajibu tunacheka....Bantu lady alianzisha uzi nikaomba Tena nichangiwe ....waliiona ni kitu nipo serious walinifata PM ....Hadi naandika muda huu nimefanikiwa kupitia michango hiyo nami niliyokuwa nayo nikajazia.Sasa nashangaa haya mazoea ya kutaka kunichafua sijui yametoka wapi.Ila niwe mkweli Sina asili ya kusamehe mtu aliyechagua kuniumiza makusudi....RAFIKI AKIGEUKA KUWA ADUI MEANS HAJAWAHI KUWA RAFIKI TANGU MWANZO.Aendelee kuumiza mioyo ya watu hakika atavuna
eehh ππ!!Hapana, am giving you a favour, you must return it in one way or another.
Yupo adui wa kudumu,...ni yeye ....uzuri hatujuani....haimuathiri hainiathiri.....moyo wangu ulivyoharibika hata ningekuta wanamuua nisingetoa taarifa popote Wala kupiga kelele.Huwezi muongelea mtu vibaya pasipo sababu.Ngoja nikuambie mpenz.....NIKISHAMCHUKIA MTU SIRUDI NYUMA.ππππ YAAN NEVER....Kuhusu makosa yangu sijutii kukosea juu yake,naomba asijutie kunikosea.Aiseee...unachukulia rahisi kuchafuliwa cute.Asante kwa kujaliHakuna adui wala rafiki wa kudumu
poleYupo adui wa kudumu,...ni yeye ....uzuri hatujuani....haimuathiri hainiathiri.....moyo wangu ulivyoharibika hata ningekuta wanamuua nisingetoa taarifa popote Wala kupiga kelele.Huwezi muongelea mtu vibaya pasipo sababu.Ngoja nikuambie mpenz.....NIKISHAMCHUKIA MTU SIRUDI NYUMA.ππππ YAAN NEVER....Kuhusu makosa yangu sijutii kukosea juu yake,naomba asijutie kunikosea.Aiseee...unachukulia rahisi kuchafuliwa cute.Asante kwa kujali
Asante Sana Kamandaπpole
Aaaaaaah!! Asisemee ni shogaa akati wanafahamianaaa hao? Wee unajuajee km hanaa uhakika na asemachoo?Asante kwa kushkuru..!
enzo ana makosa sababu nilishuhudia jinsi alivyokuongelea maneno mabaya lakini toyeye na wewe umeboronga.
Jambo baya linapotokea usikurupuke kumshutumu mtu kwa maneno machafu jipe kwanza utulivu.
Hii itakuondolea wewe kuonekana kama yeye kumbuka mshawahi kua karibu ni vyema ungedeal na hili suala kwa upendo.
Ungesema tu kua sio kweli na maelezo mengine kuliko kusema vitu kama shoga wakati uhakika huna, epuka kutoleana maneno machafu na watu, siku zote chagua upande ulio positive, jipe muda wa kutafakari njia sahihi ya kuchukua hatua.
Hakuna adui wala rafiki wa kudumu hivyo muda wote wewe sambaza upendo...!
Ukijazwa usijae mzima mzima sio kwa hili tu la enzo popote pale!
Maneno ya kuambiwa changanya na yako...!
Uzuri ushamjua enzo ni mtu wa aina gani ni vyema umechagua kumuepuka.
Hakunaa amanii ya kufakeee, nasemajeee kazia hapooo.Yupo adui wa kudumu,...ni yeye ....uzuri hatujuani....haimuathiri hainiathiri.....moyo wangu ulivyoharibika hata ningekuta wanamuua nisingetoa taarifa popote Wala kupiga kelele.Huwezi muongelea mtu vibaya pasipo sababu.Ngoja nikuambie mpenz.....NIKISHAMCHUKIA MTU SIRUDI NYUMA.ππππ YAAN NEVER....Kuhusu makosa yangu sijutii kukosea juu yake,naomba asijutie kunikosea.Aiseee...unachukulia rahisi kuchafuliwa cute.Asante kwa kujali
Wengine ni nani na nani?Na wewe umekua na macrush wengi hadi nyuzi za kulia
Na huo ndio MSIMAMO WETU WANYAKI yani viburi na jeuri vimezaliwa Mbeya..!!Hope urassa Fake P & ephen_ asanteni kwa upendo ndugu zangu....Mi binafsi moyo wangu umekufa....Nina asili ya hasira na katu hazitoisha I swear....mtu hujawahi mkosea,anakusema vibaya huko unapotezea...unavumilia....jamani huyu Kaka simfahamu hata sura jaman....hata tumbo hilo wanamwongelea ukubwa wake silijui....nimeanza masomo nikaongea Kama masihara usiku wa manane kuwa nahitaji msaada wa PC ....ulikuwa Kama utani watu wanajibu tunacheka....Bantu lady alianzisha uzi nikaomba Tena nichangiwe ....waliiona ni kitu nipo serious walinifata PM ....Hadi naandika muda huu nimefanikiwa kupitia michango hiyo nami niliyokuwa nayo nikajazia.Sasa nashangaa haya mazoea ya kutaka kunichafua sijui yametoka wapi.Ila niwe mkweli Sina asili ya kusamehe mtu aliyechagua kuniumiza makusudi....RAFIKI AKIGEUKA KUWA ADUI MEANS HAJAWAHI KUWA RAFIKI TANGU MWANZO.Aendelee kuumiza mioyo ya watu hakika atavuna
Ushauri wa kutetea adui achana nao nkamu, mma asiyelepo ugo aseeeee.!! π€£π€£π€£Yupo adui wa kudumu,...ni yeye ....uzuri hatujuani....haimuathiri hainiathiri.....moyo wangu ulivyoharibika hata ningekuta wanamuua nisingetoa taarifa popote Wala kupiga kelele.Huwezi muongelea mtu vibaya pasipo sababu.Ngoja nikuambie mpenz.....NIKISHAMCHUKIA MTU SIRUDI NYUMA.ππππ YAAN NEVER....Kuhusu makosa yangu sijutii kukosea juu yake,naomba asijutie kunikosea.Aiseee...unachukulia rahisi kuchafuliwa cute.Asante kwa kujali
π€£π€£π€£π€£ aseme atoe nyongo zake banaAaaaaaah!! Asisemee ni shogaa akati wanafahamianaaa hao? Wee unajuajee km hanaa uhakika na asemachoo?
Em muachee toyeye asemee yoteee, sisi tunatakaa umbeaa uliokamilikaa.
Watu weuweeeeeee, πππππππππππ
Oyooooo.!! ππππHakunaa amanii ya kufakeee, nasemajeee kazia hapooo.
Napendaaaa mambo haya miee, aaaaaawwwww!! πππππππππ
Ila nkamu π€£π€£π€£Kama hajui aje tumuonyeshe huyu dogo anavyotafuta ustar
Aache kabisa kuwaonya kwa kukakanda katoto kanakotaka kukandwa
Dawa za presha ulitumia km dr alivyokushauri? πΉπΉWakili hii kesi unaenda nayo sawa shukrani sana wakili unaupiga mwingi sana