Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Tupo tupo... Wengine tupo kusapua huku mweeeh ππππ₯π₯Manyanza Poor Brain Half american na wengineooooo mkujeee Bantu Lady .................hadi nmesahau majina wengne....
aah nilipokonywa cm na kokoto aseee ilikufa vbayaaaUlikuwa wapi
mshangaz haukukuibia majibuπππTupo tupo... Wengine tupo kusapua huku mweeeh ππππ₯π₯
Ooh ulikuwa wapi kipenzi Ms R muda mrefu sijakuona humu. Nikajua umeahamia majukwaa mengine. Umemisika sana na karibu tena π₯°π₯°π₯°π₯°Manyanza Poor Brain Half american na wengineooooo mkujeee Bantu Lady .................hadi nmesahau majina wengne....
Majanga ni majanga,,sina pa kwenda mimi hayo majukwaa mapya hadi nikapate wadau sio mchezo,,mi ni wa huku huku tuuuβ€οΈβ€οΈβ€οΈOoh ulikuwa wapi kipenzi Ms R muda mrefu sijakuona humu. Nikajua umeahamia majukwaa mengine. Umemisika sana na karibu tena π₯°π₯°π₯°π₯°
Okay vizuri, ila unajichanganya tu. Ukiona mada imekuvutia unachangia. Wadau utapata, sema zile za serious ni kuchangia na kutambaa hakunaga kujenga udau π π π π Nimefurahi kukuona tena hapa mdogo wangu.Majanga ni majanga,,sina pa kwenda mimi hayo majukwaa mapya hadi nikapate wadau sio mchezo,,mi ni wa huku huku tuuuβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
huko kwenye mada serious kuniona n kidogo sanaππΎππΎππ sijawahi weza mimi,, asante madamu ivi ulileta vocha ili irudiweπOkay vizuri, ila unajichanganya tu. Ukiona mada imekuvutia unachangia. Wadau utapata, sema zile za serious ni kuchangia na kutambaa hakunaga kujenga udau π π π π Nimefurahi kukuona tena hapa mdogo wangu.
Sijaele hapo dear. Nilileta vocha?huko kwenye mada serious kuniona n kidogo sanaππΎππΎππ sijawahi weza mimi,, asante madamu ivi ulileta vocha ili irudiweπ
nauliza iviii,wakati sipo ulileta tena vocha ili urudie namimi nipateππSijaele hapo dear. Nilileta vocha?
Hapana dear, toka uzi ufutwe na wakataze sijaweka kabisa.nauliza iviii,wakati sipo ulileta tena vocha ili urudie namimi nipateππ
Aaah πππapo sawa sitaumia sanaHapana dear, toka uzi ufutwe na wakataze sijaweka kabisa.
HelloKama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
Ungenitext tu kuna Infinix yangu hapa ya kupigia muziki na kuhifadhi line ngekuachiaDaaah cm lilibondeka kioo aseeπ«π«π«
sasa hata io ya kukutext nitoe wap,,hata kitochi sijamilikiUngenitext tu kuna Infinix yangu hapa ya kupigia muziki na kuhifadhi line ngekuachia
Next time uwe na backup plansasa hata io ya kukutext nitoe wap,,hata kitochi sijamiliki
Hakika ndo nataka nifanye ivo kwakwelNext time uwe na backup plan
Pole sana nilikumis sana, nilikaa kinyonge sana siku za sabato.aah nilipokonywa cm na kokoto aseee ilikufa vbayaaa
Kumekucha na sabato yako,,kesho jumuiya vipi utaenda?Pole sana nilikumis sana, nilikaa kinyonge sana siku za sabato.
Kesho ni sabatoKumekucha na sabato yako,,kesho jumuiya vipi utaenda?