Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Tupo tupo... Wengine tupo kusapua huku mweeeh 😂😂😂🔥🔥Manyanza Poor Brain Half american na wengineooooo mkujeee Bantu Lady .................hadi nmesahau majina wengne....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo tupo... Wengine tupo kusapua huku mweeeh 😂😂😂🔥🔥Manyanza Poor Brain Half american na wengineooooo mkujeee Bantu Lady .................hadi nmesahau majina wengne....
aah nilipokonywa cm na kokoto aseee ilikufa vbayaaaUlikuwa wapi
mshangaz haukukuibia majibu😆😆😆Tupo tupo... Wengine tupo kusapua huku mweeeh 😂😂😂🔥🔥
Ooh ulikuwa wapi kipenzi Ms R muda mrefu sijakuona humu. Nikajua umeahamia majukwaa mengine. Umemisika sana na karibu tena 🥰🥰🥰🥰Manyanza Poor Brain Half american na wengineooooo mkujeee Bantu Lady .................hadi nmesahau majina wengne....
Okay vizuri, ila unajichanganya tu. Ukiona mada imekuvutia unachangia. Wadau utapata, sema zile za serious ni kuchangia na kutambaa hakunaga kujenga udau 😅😅😅😅 Nimefurahi kukuona tena hapa mdogo wangu.Majanga ni majanga,,sina pa kwenda mimi hayo majukwaa mapya hadi nikapate wadau sio mchezo,,mi ni wa huku huku tuuu❤️❤️❤️
huko kwenye mada serious kuniona n kidogo sana🙌🏾🙌🏾😂😂 sijawahi weza mimi,, asante madamu ivi ulileta vocha ili irudiwe😂Okay vizuri, ila unajichanganya tu. Ukiona mada imekuvutia unachangia. Wadau utapata, sema zile za serious ni kuchangia na kutambaa hakunaga kujenga udau 😅😅😅😅 Nimefurahi kukuona tena hapa mdogo wangu.
Sijaele hapo dear. Nilileta vocha?huko kwenye mada serious kuniona n kidogo sana🙌🏾🙌🏾😂😂 sijawahi weza mimi,, asante madamu ivi ulileta vocha ili irudiwe😂
nauliza iviii,wakati sipo ulileta tena vocha ili urudie namimi nipate😌😌Sijaele hapo dear. Nilileta vocha?
Hapana dear, toka uzi ufutwe na wakataze sijaweka kabisa.nauliza iviii,wakati sipo ulileta tena vocha ili urudie namimi nipate😌😌
Aaah 😂😂😂apo sawa sitaumia sanaHapana dear, toka uzi ufutwe na wakataze sijaweka kabisa.
HelloKama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
Ungenitext tu kuna Infinix yangu hapa ya kupigia muziki na kuhifadhi line ngekuachiaDaaah cm lilibondeka kioo asee😫😫😫
sasa hata io ya kukutext nitoe wap,,hata kitochi sijamilikiUngenitext tu kuna Infinix yangu hapa ya kupigia muziki na kuhifadhi line ngekuachia
Next time uwe na backup plansasa hata io ya kukutext nitoe wap,,hata kitochi sijamiliki
Hakika ndo nataka nifanye ivo kwakwelNext time uwe na backup plan
Pole sana nilikumis sana, nilikaa kinyonge sana siku za sabato.aah nilipokonywa cm na kokoto aseee ilikufa vbayaaa
Kumekucha na sabato yako,,kesho jumuiya vipi utaenda?Pole sana nilikumis sana, nilikaa kinyonge sana siku za sabato.
Kesho ni sabatoKumekucha na sabato yako,,kesho jumuiya vipi utaenda?