Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Siku zote ni sawa, hatari ya ijumaa ni kuwekwa mtu kati.. alafu ulaze trade zako noma sanaaEti msumali wamoto..π€£
Safari ndefu hii angalia leo ijumaa vitu hushukaga hovyohovyo..π
AUDCHF naipendea ina ma wick ya kutosha nasubiri ifike kileleni mwa shadow zake nibutueEti msumali wamoto..π€£
Safari ndefu hii angalia leo ijumaa vitu hushukaga hovyohovyo..π
greed mbaya sana kwenye soko.. unaweza ishia kulia tu.. soko lina tabia ya kiume na trader hasa retailer anaona kama tu demu.. anarusha ndoana ya kwanza anakuacha unaila, ya pili unakula.. ukinenepa sana anakuvua sasa πππHii ilishawahi kunitokea nikaamua nikubali loss halafu j tatu kitu kikashuka kwa spidi nililaumu kinyama bora ningeacha..π
Hivi zile bank ndo hufanya mauzauza au brokers maana Kuna watu wanaclaimgreed mbaya sana kwenye soko.. unaweza ishia kulia tu.. soko lina tabia ya kiume na trader hasa retailer anaona kama tu demu.. anarusha ndoana ya kwanza anakuacha unaila, ya pili unakula.. ukinenepa sana anakuvua sasa πππ
muhimu sana.. ili watu wawe na mikao kama hiiMake that dollars wengine uchumi unatuchumu kwasasa..π
hapo ndio sasa unatakiwa ujue VIX S & P 500.. namna inavyo operate ukijua in out soko halitokutesa sanaHivi zile bank ndo hufanya mauzauza au brokers maana Kuna watu wanaclaim
Dah! Mwamba unafaidi kinyama..πmuhimu sana.. ili watu wawe na mikao kama hiiView attachment 2130685
Acha vurugu..[emoji23]
[emoji1787][emoji1787] Unaonekana tu
nao wanakula hela kishenzi πππDah! Mwamba unafaidi kinyama..π
π Si zimejileta..
ππππ unataka chaboooMwambie mguu mmoja uende magharibi mwengine mashariki..π