JF Chat: All members chat

Dah! Tusiwalaumu Adam na Eva tu kwa kula tunda mi naamini wewe ungekuwa kwenye ile bustani na hizo pisi zako mngekula Hadi mizizi..πŸ˜‚
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nikiwa hedge fund.. nakuwa napiga fivesome 😎😎
 
Raha ya hili komwe litanifunika Moderator sio rahisi kuniona
Ukitukana tu namtag ndo utajua hujui na ban ya wiki mbili sijui utaiweza..πŸ˜‚
 
Tukana jf si yakwako naleo lazima nikukasirishe..πŸ˜‚
Sasa wewe unakomwe halafu Shem wetu ndo huyo shemu tumbotumbo mtakachokizaa sijui tu..πŸ˜ƒ
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†usitake kunambia shem wako unamjua
Jaman jaman mbona gafla hivo ngoja shem aje
 
Ukitukana tu namtag ndo utajua hujui na ban ya wiki mbili sijui utaiweza..πŸ˜‚
Sidhan wallah hizo week mbili nahis maisha yangu yatakua magumu kama vile niko Ukraine
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†usitake kunambia shem wako unamjua
Jaman jaman mbona gafla hivo ngoja shem aje
Kaa kwa kutulia Siri zako ndani nje nje ndani..πŸ˜‚
 
Zibebe tu kiwanda kinakungoja.. huyo broker spread zake ni ndogo..?
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ spread ni tembo tu, ila tunavumiliana.. unafanya chagua pair zenye spread ndogo mfano hii Audchf ina 18 tu πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kheeee watu wana siri za nchi hawajitambi unakuja kujitamba wew unaenijua mmπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nimekufariji tu nawe uone unamambo makubwa ila hamna kitu komwe tupu..πŸ˜‚
 
Sipendi kubishana na watu ambao mpaka saiv hawajapata mlo wa usiku
Ngoja tu nikubaliπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Heri Mimi sijala wewe na likitovu lako likubwa unalakusema..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…