JF Chat: All members chat

Hizo za saizi ndo tamu!..

Hivi kwanini wanajf kila linapokuja swala la kuumizwa na mapenzi mimi ndo nimekuwa wa mfano..? Imefika hatua Sasa mpk nimechoka..๐Ÿ˜…
Atleast umekua na faida huku JF hadi unatolewa mifano๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nooo usichoke inabidi ujipongeze kwa hilo๐Ÿคฃ
 
Atleast umekua na faida huku JF hadi unatolewa mifano๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nooo usichoke inabidi ujipongeze kwa hilo๐Ÿคฃ
Kuwa na huruma hata punje!.. yani nikikuta tag basi ni kenzy ndo mfano!๐Ÿ˜…

Hii 2022 nishaamua kutulia na mmoja tu sitaki mbwembwe mimi,waambie waache hiyo tabia.
 
Kuwa na huruma hata punje!.. yani nikikuta tag basi ni kenzy ndo mfano!๐Ÿ˜…

Hii 2022 nishaamua kutulia na mmoja tu sitaki mbwembwe mimi,waambie waache hiyo tabia.
We si kila siku unaachwa, kwanza yule mpya bado mko nae au ushapewa cha mbavu tayari๐Ÿ˜‚
 
Hizo za saizi ndo tamu!..

Hivi kwanini wanajf kila linapokuja swala la kuumizwa na mapenzi mimi ndo nimekuwa wa mfano..? Imefika hatua Sasa mpk nimechoka..๐Ÿ˜…
Hatua gani ifike..tuko mawe mpka ukamilifu wa dahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ