JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Hizo za saizi ndo tamu!..

Hivi kwanini wanajf kila linapokuja swala la kuumizwa na mapenzi mimi ndo nimekuwa wa mfano..? Imefika hatua Sasa mpk nimechoka..😅
Atleast umekua na faida huku JF hadi unatolewa mifano😂😂
Nooo usichoke inabidi ujipongeze kwa hilo🤣
 
Atleast umekua na faida huku JF hadi unatolewa mifano😂😂
Nooo usichoke inabidi ujipongeze kwa hilo🤣
Kuwa na huruma hata punje!.. yani nikikuta tag basi ni kenzy ndo mfano!😅

Hii 2022 nishaamua kutulia na mmoja tu sitaki mbwembwe mimi,waambie waache hiyo tabia.
 
financial services
Njoo msaidie dogo amekamatwa na upweke
FB_IMG_16456395612575091.jpg
@finencialservice tena
 
Kuwa na huruma hata punje!.. yani nikikuta tag basi ni kenzy ndo mfano!😅

Hii 2022 nishaamua kutulia na mmoja tu sitaki mbwembwe mimi,waambie waache hiyo tabia.
We si kila siku unaachwa, kwanza yule mpya bado mko nae au ushapewa cha mbavu tayari😂
 
Hizo za saizi ndo tamu!..

Hivi kwanini wanajf kila linapokuja swala la kuumizwa na mapenzi mimi ndo nimekuwa wa mfano..? Imefika hatua Sasa mpk nimechoka..😅
Hatua gani ifike..tuko mawe mpka ukamilifu wa dahari
 
Back
Top Bottom