Hizo za saizi ndo tamu!..
Hivi kwanini wanajf kila linapokuja swala la kuumizwa na mapenzi mimi ndo nimekuwa wa mfano..? Imefika hatua Sasa mpk nimechoka..[emoji28]
Tena blaza mimi ni hatari zaidi kuliko hata watu bakiπ
Sister nawe wa kuniambia haya..? Mi nduguyo ujue!
Hahahaa hamna namnaTupambane tu tusije tukaitwa Manula
Hahahaa wacha tuone kama mtadumu sasaππββοΈπββοΈNayaweza mi mbona lejendari! Kupigwa vya ubavu hilo ni swala la Mambo mbalimbali tu.π
Hapana mitandao mingi ya kijamii watu wanatumia kujibrand ili wafahamike iwe rahisi kufikiwa na wateja wao. Lakini pia huko labda ufaidike kwa Directly Adsence (self advertisement) yaani matangazo yako binafsi mfano kampuni fulani liku face ili ulitangazie biashara yake huko.Hivi na Twitter inalipa au ndo nililishwa matambala..?π
KabisaHahahaa hamna namna
Sikutakiii ngβodoAcha fujo hebu ni wish happy birthday uweke na picha nzurinzuri nijione nami ni mtu ktk watu..π
ππkichwa chako kibovu ujueLaleki kweli nimepata dada wa kunifanana..π
Bladifakini..πKwenye Huu Uzi KENZY nakufananisha na Ukraine[emoji1787]View attachment 2129706
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiamue kufanya hivi..?Hapana mitandao mingi ya kijamii watu wanatumia kujibrand ili wafahamike iwe rahisi kufikiwa na wateja wao. Lakini pia huko labda ufaidike kwa Directly Adsence (self advertisement) yaani matangazo yako binafsi mfano kampuni fulani liku face ili ulitangazie biashara yake huko.
Mfano kama Millard Ayo anavyo tangaza matangazo ya Palm village
Kwani leo ni besdei yako?Acha fujo hebu ni wish happy birthday uweke na picha nzurinzuri nijione nami ni mtu ktk watu..π
Hapo ndio kujitafuta kwanza maana Mtu/Kampuni kukuomba uwafanyie Advertisement hapo wanaangalia na public figure yako hapo ukiwa Maarufu au na wafuasi wengi shavu hilo litakuangukia.Kwanini usiamue kufanya hivi..?