Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
My love nipo kwenye mpango kambambe wa kuiangamiza jfNiliona lakini mimi nilikuambia utafute kanzu mpya
Oww Sawa kipepeo wangu, vipi umekula?Njoo taratibu..! Nina mkwe wangu humu usije kumuumiza😂
Ahsante, ungekuja huku tupashe morning glory alafu tunapika breakfast pamojaNdio nakula hapa kiporo cha wali kisamvu na maziwa
Karibu..!
😉😉😉Umeshaanza kuharibu
Bro hivi ndio unapaswa kuwa, sio ile kunifata inbox na kuteta watu. Ule ulikua ni ujinga bro, usirudie kwa wengineNaona wale walikuwa wanaleta uswahili jana wamefutiwa vijimaneno Yao humu 😁🤣
😂Hao labda slay queens! Tafuta mabinti wanaotulia nyumbani hawana gharama🤣🤣🤣🤣
Wafanyakazi WA halmashauri hamna wanawake wanataka pesa zetu. Wanatuona hatuna pesa kabisaa.
Kama unaona tunafaid hamia Burundi 😂😃Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!.
Say hi to everyone and every time we will be there.
We chat..
Hello jf..?
VP mama la mama
Safi vipi wewe,, aloooh jana jeiefu ilikua haifunguki aseee,,nkashindwa kukuhubiriaVP mama la mama
Si useme tu ulikua na shughuli yako flani flani ila hakijaharibika jamboSafi vipi wewe,, aloooh jana jeiefu ilikua haifunguki aseee,,nkashindwa kukuhubiria
Hapana bwan,,izo shughuli nimesimama kwasasa,,nna mtoto mdogo 😁😁,, mtandao ulikua low sanaSi useme tu ulikua na shughuli yako flani flani ila hakijaharibika jambo
Hv inatakiwa ukae mda gn ndo ufanye baada ya kujifungua?Hapana bwan,,izo shughuli nimesimama kwasasa,,nna mtoto mdogo 😁😁,, mtandao ulikua low sana
Warumi 8:28Si useme tu ulikua na shughuli yako flani flani ila hakijaharibika jambo
mimi tu nmeamua hadi niachishe kunyonyaHv inatakiwa ukae mda gn ndo ufanye baada ya kujifungua?
Si inakua karibia two years hyo🤔bila bilamimi tu nmeamua hadi niachishe kunyonya
hakuna matataSi inakua karibia two years hyo🤔bila bila