JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Bro hivi ndio unapaswa kuwa, sio ile kunifata inbox na kuteta watu. Ule ulikua ni ujinga bro, usirudie kwa wengine

Ww kama una kwere na mtu mpasue hapa hadharani, sio kwenda inbox ili tuanze kumteta, huo unakua ni uoga na ujinga. Alafu tu pia men hatuteti pembeni. Huu ushauri nakupa na ufanyie kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaaah!!!!
 
Back
Top Bottom