= na kadhalika.Haha! Mkuu hapa unaweza kuchati chochote mapenzi,siasa,michezo,kuacha na kuachwa😂 nakadharika
Nduki sio Kwa Kila mtungoja namimi nitapoanza kuchomoka nduki,,mtanimiss humu😆😆
Kwamba mimi siweziNduki sio Kwa Kila mtu
Sidhani kama nlisema hvoKwamba mimi siwezi
Oooh nmesahau kuweka kiulizo,,hilo ni swali bwanSidhani kama nlisema hvo
Haya urudi mjini uanze kutoka ndukiOooh nmesahau kuweka kiulizo,,hilo ni swali bwan
soon as possible,, ngoja dogo aanze kuchanganya miguuHaya urudi mjini uanze kutoka nduki
Uje na ulanzisoon as possible,, ngoja dogo aanze kuchanganya miguu
tena huu wa kiangazi ndo wenyeweUje na ulanzi
🎶🎶alipokua msalabani alifadahaika sana akasema Eloi Eloi lamatabakithani yaaani Mungu wangu! Mungu wangu! Mbona umeniacha🎶Mpaji Mungu zaburi 221:1-2
unaimba wimbo wa upendo nkone au umejitungia verse yako🎶🎶alipokua msalabani alifadahaika sana akasema Eloi Eloi lamatabakithani yaaani Mungu wangu! Mungu wangu! Mbona umeniacha🎶
Sijajitungia, huo wimbo Sina kumbu kumbu sahihi lakini kama Sio AICC chang'ombe bas ni wale wabulyanhulu......sijui kama ulikua umezaliwa wakati hizo kwaya zikiwa kwenye prime yakeunaimba wimbo wa upendo nkone au umejitungia verse yako
unanchukuliaje wewe,,na navowapenda nyimbo zao nmejaza kwenye flash ,cm, na makongoro🤣,,mzee mimiSijajitungia, huo wimbo Sina kumbu kumbu sahihi lakini kama Sio AICC chang'ombe bas ni wale wabulyanhulu......sijui kama ulikua umezaliwa wakati hizo kwaya zikiwa kwenye prime yake
Kipindi chetu ilikua Kanda, upande Moja nyimbo nne upande mwngn nyimbo nne......walikuepo waimbaji kina Malebounanchukuliaje wewe,,na navowapenda nyimbo zao nmejaza kwenye flash ,cm, na makongoro🤣,,mzee mimi
weeee namlilia malebo🤣ninayo pia,,na kanda nmeona pia alikua nazo mzeeKipindi chetu ilikua Kanda, upande Moja nyimbo nne upande mwngn nyimbo nne......walikuepo waimbaji kina Malebo
Zilikua kwaya nzuri sana nyakati hzoweeee namlilia malebo🤣ninayo pia,,na kanda nmeona pia alikua nazo mzee
ila saivi hakuna kituZilikua kwaya nzuri sana nyakati hzo