FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwanini siku hizi Tanzania kumekuwa na tatizo la kutamka na hata kuandika maneno yenye R na L.
nakumbuka sisi zamani tulivyokuwa "primary" ukiikosea kutamka R ukatamka L basi utaliandika ubaoni hilo neno huku unalitamka mpaka uweze mara 100 bila kukosea ndiyo adhabu yako inapoishia, ilikuwa ni muwarybaini.
Vipi siku hizi ndiyo shule za kusomea ujinga?
nakumbuka sisi zamani tulivyokuwa "primary" ukiikosea kutamka R ukatamka L basi utaliandika ubaoni hilo neno huku unalitamka mpaka uweze mara 100 bila kukosea ndiyo adhabu yako inapoishia, ilikuwa ni muwarybaini.
Vipi siku hizi ndiyo shule za kusomea ujinga?