Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😂😁😁Mimi napenda AmaniUpole hunizidi mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😁😁Mimi napenda AmaniUpole hunizidi mimi
Unafuga Nni ?Sifugi kuku
Mmmmh sio kweli!😂😁😁Mimi napenda Amani
NyweleUnafuga Nni ?
Za wapi?Nywele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ba tamuu kanichekeshaa jana, anasemaje muambie huyo Dogo kuwa aache mazoea na wee na kuja hapo kwako, lasivyo anachokufanyaga wee na mie nitamfanya yeye.Uduguu na ba tamu mliishiaje?? Na yule dogo bado anakuja kucheck muvi kwako?
Za wapi?Nywele
Ufugaji una endana na kilimo Yani inapendaza mno , mimi pia napenda ufugaji mno na kilimo hasa kwa matumizi ya chakula cha nyumbani.Sifugi kuku
Kichwani! Nina nywele ndefu hadi najionea wivuZa wapi?
😂😁😁😁😁😁😁Mmmmh sio kweli!
Anafuga kucha na nywele huyu.Unafuga Nni ?
Mashallah 😍Kichwani! Nina nywele ndefu hadi najionea wivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani sijui itakuajee, woiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukomi bado?
Wewe shem atakuvunja miguu hiyo.
Nimekuuliza ?Anafuga kucha na nywele huyu.
Poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah nimelia sana [emoji24]
Hata mimi napenda kufuga ng'ombe kuku na bataUfugaji una endana na kilimo Yani inapendaza mno , mimi pia napenda ufugaji mno na kilimo hasa kwa matumizi ya chakula cha nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahView attachment 3025642
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Vibamia havijawah kutisha bhana, hua vina sura ya upoleSitaki kuota mimi, kuna vitu vingine vinatisha Akhu 🤣🤣🤣
Sijapenda ulivyomshushua unajua huyu ni mstaarabu ukifanya hivyo atanywea😣Nimekuuliza ?
Nisamehe mkuu😁Nimekuuliza ?