ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Tuanzie hapo kwenye kula! Nile vipiKitambi ni kitu kidogo tu ukiwa na nidhamu ya mazoezi na kula
Kwani wewe huna kitambi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanzie hapo kwenye kula! Nile vipiKitambi ni kitu kidogo tu ukiwa na nidhamu ya mazoezi na kula
Kwani wewe ni mtoto wa elfu 2?ndio nilikutongoza ukanikataa bila sababu...😭😭
Kula unaposikia njaa tu ,wewe unakula ovyo ovyo nakujua, mhm kitambi ni ugonjwa.Tuanzie hapo kwenye kula! Nile vipi
Kwani wewe huna kitambi?
Mbona nakula ninapojisikia njaa tuKula unaposikia njaa tu ,wewe unakula ovyo ovyo nakujua, mhm kitambi ni ugonjwa.
Unakula mpka tumbo zinapanda juu ,asubuh ugali😁😁😁Mbona nakula ninapojisikia njaa tu
Umesema ulinitongoza nikakukataa wakati mimi pm yangu imefungwa ulinitongoza wapi na saa ngapikivipi yani fafanua sijakuelewa..
Sasa kula ugali asubuhi kuna shida gani?Unakula mpka tumbo zinapanda juu ,asubuh ugali😁😁😁
ni hovyohovyo sio ovyoovyo!!!!!!!!!Kula unaposikia njaa tu ,wewe unakula ovyo ovyo nakujua, mhm kitambi ni ugonjwa.
Ndio maana una kitambi😁😁Sasa kula ugali asubuhi kuna shida gani?
Duh kiswahili ni kigumu mkuu 😁😁 kweli huyu anakula ugali asubhi.ni hovyohovyo sio ovyoovyo!!!!!!!!!
kula si tu kula bali pia anakula nini muulize anakula nini... kama anataka kupunguza kitambi apunguze kula vyakula vya wanga.
Asante kwa kuninyanyasaNdio maana una kitambi😁😁
Kitambi si unakitoa tu mkuu😄mwambie aache Kenzy anapenda warembo wasio na vitambi..😅
Upo kama mimi1. Mimi ni mvivu, ninapokaa hakuna kanisa langu karibu
2. Waumini wa dhehebu langu wakitoka kanisani matendo yao ni yaleyale wivu, usengenyaji chuki
Nilichogundua dini ya kweli ni upendo sio lazima niende kanisani
Nikila vyakula vya protein bila wanga sishibini hovyohovyo sio ovyoovyo!!!!!!!!!
kula si tu kula bali pia anakula nini muulize anakula nini... kama anataka kupunguza kitambi apunguze kula vyakula vya wanga.