Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂inatakiwa na anaetaka kukitoa awe amekubali kukitoa sa anakula ugali asubuhi kama mzimu vile...🤣
Ukimpenda unampenda na kitambi chake😁inatakiwa na anaetaka kukitoa awe amekubali kukitoa sa anakula ugali asubuhi kama mzimu vile...🤣
Mimi siwezi kukunyanyasa kamwe😁Asante kwa kuninyanyasa
Life style yangu ndio hii unayoiona jf sina nyingineduh! ningependa kujua life style yako...
Kawatafute wamejaa tele watoto wa 2010mwambie aache Kenzy anapenda warembo wasio na vitambi..😅
😂😂Dah!Napenda hizo 3T 😊
Hapana mkuu, Mimi sio mkongwe. But labda tuu janja ya binti....mkuu naambiwa we mkongwe lkn nimeangalia profile yako nakuta ni wa 2014 mi wa 2015 kuna ukongwe hapo..? au sema tu dawa tumezidiana..😂
Unaniita mimi mzimu! Halafu unataka nikufungulie pm? Utasubiri sanainatakiwa na anaetaka kukitoa awe amekubali kukitoa sa anakula ugali asubuhi kama mzimu vile...🤣
3 T ndio nini mkuu?Napenda hizo 3T 😊
Mchumba angu kasema amenipendea kitambinaweza kukushusha kitambi vipi upo tayari..?
🤣😂😁😁Unaniita mimi mzimu! Halafu unataka nikufungulie pm? Utasubiri sana