Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sitaki😂
Mimi sijui jinsi ya kushare ila search Souf ana nyimbo nzuri ila my fav ni Ça c'est faitwe kashamba kumbe! pakua hiyo mi sina mama..
Naomba unielekezeinatakiwa ujue!
Endelea kufunga tu chumba.. Hata picha ya sikio nisione?Jioni nitaenda kutafuta pharmacy
Asante daktari wangu☺️
Mbona tunachit chat sana tu chumbani! Kwenye id yangu flani hivi😉Endelea kufunga tu chumba.. Hata picha ya sikio nisione?
Si vema.
angalia hapo kwenye kuandika komenti kwa chini pameandikwa "attach files" bonyeza itakupeleka kwenye store ya simu yako then utaenda kuchagua kama ni picha ama muziki ukisha selekti utaona una upload utasubiri umalize it takes seconds labda mtandao wako uwe low,ikimaliza itakuandikia neno insert click then post.Naomba unielekeze
😎😁😁😂😂angalia hapo kwenye kuandika komenti kwa chini pameandikwa "attach files" bonyeza itakupeleka kwenye store ya simu yako then utaenda kuchagua kama ni picha ama muziki ukisha selekti utaona una upload utasubiri umalize it takes seconds labda mtandao wako uwe low,ikimaliza itakuandikia neno insert click then post.
Asante! Na kuweka video ya youtube humu?angalia hapo kwenye kuandika komenti kwa chini pameandikwa "attach files" bonyeza itakupeleka kwenye store ya simu yako then utaenda kuchagua kama ni picha ama muziki ukisha selekti utaona una upload utasubiri umalize it takes seconds labda mtandao wako uwe low,ikimaliza itakuandikia neno insert click then post.
Hiyo ya pili nilikua naipenda kipindi nakua nilikua naisikia
Nablush tu huku😉☺️mi sio wamchezo linapokuja swala la mziki nishaibiwa sana cd zangu!..😂