Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua nakuwaza hapa☺️
Unawaza nini ?Nilikua nakuwaza hapa☺️
Nilikua nimekumiss nikawaza mbona min me haniiti?😣Unawaza nini ?
Mhm mimi nmeona likes zako Moy ukapiga paa😁Nilikua nimekumiss nikawaza mbona min me haniiti?😣
Pale ndio nilikua nakushtua uniite😉Mhm mimi nmeona likes zako Moy ukapiga paa😁
Na nimeshakuita sasa 😁 mda ule nilipitiwa na usingiz mkalPale ndio nilikua nakushtua uniite😉
Usijali! Muhimu upo hapa sasa hiviNa nimeshakuita sasa 😁 mda ule nilipitiwa na usingiz mkal
Uneshakula leo😁? Nguruwe kama kawaida yakoUsijali! Muhimu upo hapa sasa hivi
Hapana! Nimetoka kula ugali samaki na bamia now nashushia parachichiUneshakula leo😁? Nguruwe kama kawaida yako
😋😋😋 ila huwa unajikoki mnoHapana! Nimetoka kula ugali samaki na bamia now nashushia parachichi
Napenda misosi! Unadhani bila hivi ule ubonge ningeutoa wapi😋😋😋 ila huwa unajikoki mno
Mimi mwenyewe napenda sema ubonge ndio sinaNapenda misosi! Unadhani bila hivi ule ubonge ningeutoa wapi
Nitakupunguzia nyama!Mimi mwenyewe napenda sema ubonge ndio sina
Ila mwanaume nyama kidgo tu zinatosha😁😁Nitakupunguzia nyama!
Kama unazo kidogo basi sawaIla mwanaume nyama kidgo tu zinatosha😁😁
Nikipata kama kimwili cha Obama apo sawa🤗Kama unazo kidogo basi sawa
Pambana na hali yako! Pm yake ipo wazi nenda!ephen nisaidie kupata mchumba humu jf namtaka cocastic!!
