JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Wamekufanyaje mkuu wangu mpishi.?
Nimeweka ela ya gauni nililipenda ijumaa asubhi dukani nikamwambia nitaenda jion kuchukua jion ilibaki kama elf 10,naenda wamefunga nikasema nitaenda asubh Nina harus natakiwa kwenda napiga simu anasema j mos hafungui nikamuomba na kubembeleza akasema subr nusu saa nimekaa akapiga anasema hawez kufungua Nije jumapil na na wakat shereeh ni siku hiyo jion mbaya Zaid ana Hela yangu akawa hapokei na simu,nitampigia msichana wake ambae sio msabato na ndo analala na funguo kasema boss kasema asifungue mwisho ane simu akawa hapokei kabisa Kila mtu alishangaa ikabidi niangalie namna nyingine
Kiukweli hanioni Tena dukani kwake
Kwan walifungua j mos wanaenda motoni
Nikawaza na kumuomba kule anisaidie Mungu gani wanaemuabudu ambae hata upendo Hana jamn
 
Nimeweka ela ijumaa asubhi dukani nikamwambia nitaenda jion kuchukua jion ilibaki kama elf 10,naenda wamefunga nikasema nitaenda asubh Nina harus natakiwa kwenda napiga simu anasema j mos hafungui nikamuomba na kubembeleza akasema subr nusu saa nimekaa akapiga anasema hawez kufungua Nije jumapil na na wakat shereeh ni siku hiyo jion mbaya Zaid ana Hela yangu akawa hapokei na simu,nitampigia msichana wake ambae sio msabato na ndo analala na funguo kasema boss kasema asifungue mwisho ane simu akawa hapokei kabisa Kila mtu alishangaa ikabidi niangalie namna nyingine
Kiukweli hanioni Tena dukani kwake
Kwan walifungua j mos wanaenda motoni
Nikawaza na kumuomba kule anisaidie Mungu gani wanaemuabudu ambae hata upendo Hana jamn
Na walivyo na msimamo na siku ya sabato hawabadilishagi msimamo wao hata kwenye jambo la kutumia busara wao kwao wanaona kama wanakiuka kanuni na dhambi. Hawa kina Ms R wanazingua sana. Pole kwa mkwamo wa kisabato.
 
Na walivyo na msimamo na siku ya sabato hawabadilishagi msimamo wao hata kwenye jambo la kutumia busara wao kwao wanaona kama wanakiuka kanuni na dhambi. Hawa kina Ms R wanazingua sana. Pole kwa mkwamo wa kisabato.
Yani alafu bas Ile kijeuri siwez kufungua bas ijumaa angesema nafunga mapema na j mos sifungui akakausha yani
Hiv wakikutana mtu ghafla njian anahitaji msaada Huwa wanapita kuwahi sabato?
J mos hawanunui hata karanga za kutafuna?
 
Yani alafu bas Ile kijeuri siwez kufungua bas ijumaa angesema nafunga mapema na j mos sifungui akakausha yani
Hiv wakikutana mtu ghafla njian anahitaji msaada Huwa wanapita kuwahi sabato?
J mos hawanunui hata karanga za kutafuna?
Wana miongozo yao ambayo binafsi huwa naona ya ajabu
 
Nimeweka ela ya gauni nililipenda ijumaa asubhi dukani nikamwambia nitaenda jion kuchukua jion ilibaki kama elf 10,naenda wamefunga nikasema nitaenda asubh Nina harus natakiwa kwenda napiga simu anasema j mos hafungui nikamuomba na kubembeleza akasema subr nusu saa nimekaa akapiga anasema hawez kufungua Nije jumapil na na wakat shereeh ni siku hiyo jion mbaya Zaid ana Hela yangu akawa hapokei na simu,nitampigia msichana wake ambae sio msabato na ndo analala na funguo kasema boss kasema asifungue mwisho ane simu akawa hapokei kabisa Kila mtu alishangaa ikabidi niangalie namna nyingine
Kiukweli hanioni Tena dukani kwake
Kwan walifungua j mos wanaenda motoni
Nikawaza na kumuomba kule anisaidie Mungu gani wanaemuabudu ambae hata upendo Hana jamn
pole..😂
 
Nimeenda Leo knmbia duka lake hata mteja akikuta kafunga geti nusu Huwa hafungui Tena😃
nimekuuliza swali hapo naona unalikwepa toka lini umekuwa mwanasiasa..?
 
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom