JF Chit: Chat hapa upate mchumba

πŸ˜…πŸ˜… Una uhakika Gani kama najiheshimu?
☺️☺️☺️Kwa sasa sijui ila naamini ni hivyo, ila hii Id huwezi kuijua maana nimebadilisha jina nilisha chati na wewe ukanielekeza namna gani ulijitunza mpaka ndoa
 
Wachumbaaa mkujeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani mwenzio natafuta mke wa kuoa, awe private sector or public sector.
Elimu ianzie Bachelor degree kwenda juu na sio chini ya hapo.
Mengine tutayajadili pm

Nipo very serious na hili jambo
 
Ni wapiii huko ba watoto umenitag? Niendee nikatazamee.
Aaaaiiiiiiih!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni wapiii huko ba watoto umenitag? Niendee nikatazamee.
Aaaaiiiiiiih!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi upo sana jf, kuna kitu unaogopa? Unaogopa kupinduliwa?πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…