Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe atoto 🙄🤣🤣🤣🤣 Unajua kwanini!
Niambie shindikana😀Wewe atoto 🙄
Hahahah kwa sababu ni wewe niite tu hivyoNiambie shindikana😀
☺️☺️☺️Kwa sasa sijui ila naamini ni hivyo, ila hii Id huwezi kuijua maana nimebadilisha jina nilisha chati na wewe ukanielekeza namna gani ulijitunza mpaka ndoa😅😅 Una uhakika Gani kama najiheshimu?
Umekumbuka?Dah 😂
Poa mume🤣🤣🤣🤣🤣Mambo mchumba
AmnaTayari nini mkuu?
kuna wasebure maan mchumba tayal unae🤣🤣Kuna nini huku😄
Huu sio mtego kweli?Poa mume🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani mwenzio natafuta mke wa kuoa, awe private sector or public sector.Wachumbaaa mkujeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MmmmhWachumbaaa mkujeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀Huh!! Yamekuwa hayo tena!!Amna
Swali limekaa kimtego hilo, ningejibu ovyo tuu ningekuwa kibonzo cha wiki😀Huh!! Yamekuwa hayo tena!!
Ni wapiii huko ba watoto umenitag? Niendee nikatazamee.Nimeku tag kule na kuna ujumbe wako.
Naamini mimj ndio "Mume wako wa MAISHA". In your avatar you look so cute, pesa inatafuwa upendo wa kweli unakuja automatic bila pesa.
Nimekupenda bidada wewe ndio moyo wangu sili silali nakuwaza wewe tu mrembo.
I really promise you a good life though bado nipo nipo kitaaa naendelea kujitafuta but tambua kidole kimoja hakivunji chawa.
Njoo mama njooo tujenge familia, tusiwacheleweshe watoto wetu kuanza shule my sweet darling [emoji8]
Hamna bwana, we jibu tu!Swali limekaa kimtego hilo, ningejibu ovyo tuu ningekuwa kibonzo cha wiki
Siku hizi upo sana jf, kuna kitu unaogopa? Unaogopa kupinduliwa?😂Ni wapiii huko ba watoto umenitag? Niendee nikatazamee.
Aaaaiiiiiiih!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo wapi mahi usiku huu na baridi ni kali sanaPoa mume🤣🤣🤣🤣🤣