jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Hii kali😆Kuna mtu alinihadithia siku ya kwanza yeye alipofika juu vitu vimetoka kwa kasi ule uoga akakimbia nje akiwa uchi akamuacha demu ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kali😆Kuna mtu alinihadithia siku ya kwanza yeye alipofika juu vitu vimetoka kwa kasi ule uoga akakimbia nje akiwa uchi akamuacha demu ndani
umeona masharti yake lakini aseeeeHawezi kukukataaa namjua huyo, Kwa watoto wazuri kama ww sasa hivi anatumia nauli
kama inatisha ntakuja kukuzabua makofi hadharan aseeeee,,kuna hii moja inaitwa SISU mtu akanambia nzuri,we nloyakuta mle sina hamu🙌🏾🙌🏾🙌🏾Ili nijue upo wapi 😂😂😂
Alafu kuna movie tafuta inaitwa Human centipede oaaaa weeeeh hapana chezea kabisa ni hatariii
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥺🥺🥺🥺
Delete zile Convo mpe passwordumeona masharti yake lakini aseeee
Hapana,, naomba nihamie kwako tuwe wawili, najua wewe huna masharti magumu😌Delete zile Convo mpe password
Ngoja nikurudishie 5000 yako ilikua 25000Si ulibeba zote ukalipa kodi? Na zilikuwa 'afu selasini' tu 😂
Kila mtu akieleza mwanzoni mambo yalikuaje utacheka sanaKuna mtu alinihadithia siku ya kwanza yeye alipofika juu vitu vimetoka kwa kasi ule uoga akakimbia nje akiwa uchi akamuacha demu ndani
Karibu kwangu masharti mepesi sana kikubwaHapana,, naomba nihamie kwako tuwe wawili, najua wewe huna masharti magumu😌
Jiandae Kwa maternity photoshoot mwezi wa tatu 2025Manyanza kaa kando mxiuuu,nimejipatia huku,,robo tatu ya mashart nimeshatimiza tayari,😌😌
Hilo tu, kizazi hakijaoza na P2 bado kipo perfectJiandae Kwa maternity photoshoot mwezi wa tatu 2025
Huyy ndo wewe au 😏😏😕🙌
Mimi nataka bikra ndio nitamuoa ila kama unajijua wewe ni used njoo nipige HIT AND RUNHii ni thread maalumu kabisa kwa wale ambao wako single na wanataka better half, pole pole mjuane. Huwezi jua umepangiwa utakutana nae vipi
Walio kwenye relationship nyie tulieni acheni wenzenu wapate nao wafaidi mema ya nchi.
Ndio yeyeHuyy ndo wewe au 😏😏😕🙌
Sasa huo uvimbe hapo nyuma wa nini aiseee bora angekua flat screenNdio yeye