ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,752
Binafsi nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini wachangiaji katika jukwaa hili ni wachache? lakini kwa uchunguzi wangu nimekuja kugundua kuwa watu wenye uwezo wa kuchangia jukwaa hili ni wengi sana.Kilicho nishitua zaidi ni ID.za watu niliowajua waliokuwa wakitoa michango yao mizuri wameipa kisogo site hii utaona wakichangia kwenye jukwaa la siasa nk.
kwa mawazo mengine mtu mwingine anaweza kusema ma Doctor ni wachache na wataalamu wengine wa afya ni wachache kitu ambacho si kweli maana kuna wengine wana uwezo wa ku google na kutoa mchango wao vizuri sana.
Nilichogundua mimi pamoja na wewe unakaribishwa kutoa maoni yako nini ila nilichoona ni kuwa watu wengi wanapo post shida zao jf Doctor wanaondoka,kama mjuavyo kuna mambo mengi kabla hujaanza kumshauri mtu nini cha kufanya, mfano unaweza taka kujua uzito,umri maana dawa nyingi zinatumika kulingana na kilo za mgonjwa,sasa wataalamu wakiuliza unakuta muulizaji hajibu chochote.mbona majukwaa ya mahusiano,siasa wengi wanaopost hutulia kuangalia michango na kujibu maswali huku si zaidi sana maana inahusiana na uhai.
Kutokana na hili wengi wameona ni kupoteza muda unataka kumsaidia mtu asiyekuwepo kukujibu hata maswali ya msingi,kumbuka muda anaokusaidia huenda kuna mgonjwa amemuomba asubiri kidogo huku akikujibu wewe uliyepost.
Kabla sijakukaribisha wewe kwa mchango wako niombe wataalamu turudi tusaidie wadau angalau wale wanaokuwepo kujibu maswali tusikimbie jukwaa hili.
kwa mawazo mengine mtu mwingine anaweza kusema ma Doctor ni wachache na wataalamu wengine wa afya ni wachache kitu ambacho si kweli maana kuna wengine wana uwezo wa ku google na kutoa mchango wao vizuri sana.
Nilichogundua mimi pamoja na wewe unakaribishwa kutoa maoni yako nini ila nilichoona ni kuwa watu wengi wanapo post shida zao jf Doctor wanaondoka,kama mjuavyo kuna mambo mengi kabla hujaanza kumshauri mtu nini cha kufanya, mfano unaweza taka kujua uzito,umri maana dawa nyingi zinatumika kulingana na kilo za mgonjwa,sasa wataalamu wakiuliza unakuta muulizaji hajibu chochote.mbona majukwaa ya mahusiano,siasa wengi wanaopost hutulia kuangalia michango na kujibu maswali huku si zaidi sana maana inahusiana na uhai.
Kutokana na hili wengi wameona ni kupoteza muda unataka kumsaidia mtu asiyekuwepo kukujibu hata maswali ya msingi,kumbuka muda anaokusaidia huenda kuna mgonjwa amemuomba asubiri kidogo huku akikujibu wewe uliyepost.
Kabla sijakukaribisha wewe kwa mchango wako niombe wataalamu turudi tusaidie wadau angalau wale wanaokuwepo kujibu maswali tusikimbie jukwaa hili.