Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Habari za jioni wakuu?
Bila shaka mko salama.
katika pita pita nimekutana na mjadala katika site flani hivi watu wakijadiliana juu ya viability ya vidole (pichani) kutofautiana kwamba inaweza kuwa inaonesha mwanaume halisi na asiye halisi (shoga).
kwenu ninyi mnalizungumziaje hili suala?
Bila shaka mko salama.
katika pita pita nimekutana na mjadala katika site flani hivi watu wakijadiliana juu ya viability ya vidole (pichani) kutofautiana kwamba inaweza kuwa inaonesha mwanaume halisi na asiye halisi (shoga).
kwenu ninyi mnalizungumziaje hili suala?