Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

kvelia

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2009
Posts
246
Reaction score
44
Ndugu zanguni wataalam, nina tatizo la muda mrefu. Nikiwa kijijini kama mwaka na nusu uliopita nilikuwa namwelekeza ng'ombe kwenye zizi lake ghafla akanivuta na mkono ukauma sana. Nilienda hospitali nikapigwa X-RAY doctor akasema hakuna mfupa ulioteguka wala kuvujika, nilipewa dawa za kutumia kama mwezi hivi. Nilipata nafuu lakini baadae kama miezi sita hivi kipindi cha baridi mkono ukauma tena na haufai kabisa kufanya kazi yeyote. Nauliza kuna uwezekano nikapona na niende wapi, NISAIDIENI JAMANI, TATIZO NI NINI. Natanguliza shukrani
 
Ndugu zanguni wataalam, nina tatizo la muda mrefu. Nikiwa kijijini kama mwaka na nusu uliopita nilikuwa namwelekeza ng'ombe kwenye zizi lake ghafla akanivuta na mkono ukauma sana. Nilienda hospitali nikapigwa X-RAY doctor akasema hakuna mfupa ulioteguka wala kuvujika, nilipewa dawa za kutumia kama mwezi hivi. Nilipata nafuu lakini baadae kama miezi sita hivi kipindi cha baridi mkono ukauma tena na haufai kabisa kufanya kazi yeyote. Nauliza kuna uwezekano nikapona na niende wapi, NISAIDIENI JAMANI, TATIZO NI NINI. Natanguliza shukrani
Pole sana kwa kuumwa namkono fanya hivi. Tafuta Karafuu gramu 50,Pilipli mtama gramu 50,Tangawizi kavu gramu 50 vitu hivyo vyote twanga uchekeche upate unga wake Uchanganye na na siki ya Zabibu ( Vinegar) Au siki ya Apple (Apple cider) chupa moja uwe unajipaka kila siku asubuhi na usiku kwa muda w siku 7 inshallah akipenda Mwenyeezi Mungu utapona . tumia kisha unipe feedback...@kvelia

ukisha maliza kujipakaa hiyo dawa tafadhali uoshe viganja vyako vya mkono uliotumia kujipaka kwani hiyo dawa inakuwa ni sumu haifai kwa kunywa ni ya kujipaka tu
 
Pole sana kwa kuumwa namkono fanya hivi. Tafuta Karafuu gramu 50,Pilipli mtama gramu 50,Tangawizi kavu gramu 50 vitu hivyo vyote twanga uchekeche upate unga wake Uchanganye na na siki ya Zabibu ( Vinegar) Au siki ya Apple (Apple cider) chupa moja uwe unajipaka kila siku asubuhi na usiku kwa muda w siku 7 inshallah akipenda Mwenyeezi Mungu utapona . tumia kisha unipe feedback...@kvelia

Ushauri mzuri sana
 
Nashukuru sana MziziMkavu, nitaanza kutafuta hayo material, kisha nitakupa feedback, Mwenyezi Mungu akuzidishie.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom