epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 81
Hawa nao wamewekeza nini? Maana wanachovuna hawajakileta wao wala hawajaongeza lolote kwenye kilichopo. Labda wameajiri manamba wa kuwasaidia na kuwafulia nguo
ndolanga...who the hell is this guy; DOOLANGU
umasikini ni balaa ndugu yangu,masikini hatuwezi hata siku moja kufurahi tukimuona mtu anatumia kipato chake alichojaaliwa na mungu.mwarabu na pesa zake za mafuta kaja kutumia,tunamchongea ngenga pia ,haya kipi cha kwetu kaiba? sanasana kaongeza mapato ya utalii.hawa si ndo tunawaita watalii jamani?Chuki,wivu ,umasikini ,roho chafu,kijicho ndiyo matatizo yetu makubwa.Bila kuondokana nayo maisha yote tutakuwa watu wamwisho katika ulimwengu huu.
Kwa nini tuko hivi? Kama mtu kaacha home mke wake,wewe inakuhusu nini? Kama kaja na mwanamke wa Thailand inakuuma nini?
Familia zao zinaneemeka kwa mafuta yao,sasa wakiwekeza ili wastarehe wewe roho inakuuma kwa nini?Kwa hali hii hatuwezi kuendelea kamwe.
unasema wafanyiwe kwani wamefanya kosa gani ?usiwe na chuki zako za kibinafsi hao watu wameruhusiwa na viongozi wa nchi na wapo hapo kihalali sasa tatizo liko wapi ?kama ingekuwa mzungu ukesema hayo kama una tatizo lolote nenda mahakamani kama inavyosema serekali .
http://www.sheikhmohammed.co.ae/StaticFiles/Content for English site/Static%Dah jamaa wanatesa jamani mwenye pesa sio mwenzio tutaishia kuwaangalia tu na kuwapigia magoti.
kama ni halali basi hata siku wakipewa ikulu itakuwa halali tuMimi namuunga mkono kwa ndugu aliojibu kama hao waarabu hawakuingia kwa wizi bali kwa kibali maalum toka serekalini.Sioni sababu ya kukereketwa na kuwepo kwao nchini,isitoshe unajua kama fedha ngapi ya geni imeingia nchini?
natamani kuliaaaaaaaaaaaaaaa.....sijui kwanini???