JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama na ardhi yetu tukichekelea!

Jamaniiiiiiiiiii inauma.....vizazi vyetu vitaona hawa wanyama kwenye luninga tuuuu;;
 

Inawezekana ni waislam pori"""""":yell:
 
hakuna cha mzungu wala nani warabu, wazungu wote wanaharamu tu, bila kujari una hisa nao kwa kiwango gani
wote mafirauni tu, sawa sawa na viongozi wako waliowaweka huko kihalali ama siyo kihalali, wote shwaini tu hawahitajiki
watawekea mbegu mbaya
 
Kwani viongozi wa kizazi hiki wana tofauti gani na akina Sultan Mangungo wa Msovero? Hebu nijuzeni wadau.
Tofauti ipo, wale akina mamgungo waliyafanya yoote waiyoyafanya kwa sababu ya ujinga wao.
hawa viongozi wa sasa wanyafanya haya kwasababu ya usaliti wao.
tofauti ni kua hawa wa sasa wanafaham athari za wanachokifanya lakini kwa tamaa na usaliti bado wanafanya.
siwapendi ka nini!!!
yani siwapendi, hata ningekua na uwezo ningewa....... wooote.
 
Watanzania - kiwanda cha maneno matupu ! mojawapo la maana hakuna. Achieni wawekezaji watuokoe au tutakufa njaa na uchumi mmeukalia n ahayo makalio makubwa!
 
bado akilia yangu haijatulia tangu juzi nikifikiria trilioni 3 za shimbo na haya madudu ya picha humu ndo nashikwa na mzuka mbaya.
 

Are you real?
 
Watanzania - kiwanda cha maneno matupu ! mojawapo la maana hakuna. Achieni wawekezaji watuokoe au tutakufa njaa na uchumi mmeukalia n ahayo makalio makubwa!

Huna sababu ya kutukana labda kama umetumwa
 
Nimesoma hili:

[h=1]BIG GAME HUNTING IN TANZANIA[/h]
Kutoka Africanhuntingsafaris.com
 
kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke!
Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!
 
kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke!
Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!
Hahahaaa....hahaaaaa...you've just made my day Mkuu. ndege yenyewe mbovu iende kunyonya mafuta..lol...
 

Na sio tamaa na usaliti tu na ubinafsi uliokithiri uliopita ubinafsi wote mtu anakula mpaka anatapika kisha anakula alichokitapika ilimradi tu yeye ni yeye.
 
Hivi biashara ya utumwa kumbe bado ipo ehhh! Ipo inderectly! 🙁
 
Natamani nimuonje swala hata sijui ananoga vipi zaidi ya kumshangaa na ngozi yake laini,leo hii nikikaribia kuihama hii dunia waarabu wa Qatar,maguo guo wa juzi tuu wana set terms na wale tuliowapa dhamana bila aibu wanabariki vitendo vya kudhalilisha nchi ,nasema mifupa yao itakuja kutandikwa viboko,woroho wakubwa
 
kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke! <br />
Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!
<br />
<br />
Ndege ya JWTZ iko busy kubeba watu kama Freeman Aikaeli Mbowe kwenda Arusha mahakamani, iko busy sana.
 
Kuna haja ya kuona hata serikali yenyewe imeshiriki katika kuvunja katiba ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kuuza rasilimali za Nchi tena Wizara so kuna ulazima wa Waziri kujiuzuru na kuona kuwa Taifa wanyama wote wanarudi na pengine rais atuwambie wanyama wetu wapo wapi kwa sasa tunataka warudi katika tifa letu Tanzania!! =
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…