JF FC-The Dream Team

JF FC-The Dream Team

Mbona sijamuona AbTchaz hata kwenye kamati yeyote then KKN must in first XI

Hapa KKN yeye ni Super Sub aka Golden Boy(Kama Hassan Hafif enzi zile) yeye kazi yake ni kuusoma mchezo ili kama mastriker wananoanza akina YoYo wanashindwa kufunga magoli yeye ndo anakuja kuokoa jahazi/kutengeneza ushindi,so KKN kawekwa benchi kwa sababu maalum za kiufundi.....Kuhusu hao wazee wao ni 'kamati ya ufundi',hope unajua nini kazi ya kamati ya ufundi kwenye soka letu la BONGO....Ushindi lazima mkuu
 
Baada ya Stars kutolewa nimeona ni bora tuanzishe Stars yetu mbadala ndani ya JF ambayo nina uhakika hata ikienda Bondeni mwakani lazima kombe la Dunia lije Bongo......Timu hiyo ni kama ifuatavyo: 1.Share…..(Huyu bwana nimeangalia kwenye ile thread ya CHAN Live alikuwa upande wa Dihile sana,hope atatusaidia sana golini,atakuwa kama Juma Pondamali vile).
2.Shadow(Huyu yeye namfananisha na David Mwakalebela yaani).

3.Mwazange(Huyu atatupa vitu vya mzee mzima Alphonce Modest).

4.Bubu Ataka Kusema( mkoba wenyewe huu kama Salum Kabunda ‘Ninja').

5.Belo( Hiki ni kisiki kama George Magere Masatu).

6.Invisible(Huyu ni Kiungo mkabaji mithili ya Hayati Method Mogella ‘Fundi,yeye ndiye Nahodha wa JF FC).

7.Masanilo( Winga tereza wa upande wa kulia,yeye anacheza kama Abubakar Salum ‘Sure Boy').

8.Mfumwa(Huyu ni kiungo mshambuliaji yeye atacheza mithili ya Hussein Aman Marsha).

9.YoYo(Huyu ni mshambuliaji wa kati mwenye uchu wa magoli mithili ya Zamoyon Mogella,tutegemee magoli mengi jamani).

10.Hofstede(Atamsaidia YoYo pale mbele kumalizia mipira ya vichwa itakayotoka winga za pembeni,pia atamalizia krosi,atacheza kama Abeid Mziba ama Innocent Haule).

11.Icadon(Winga ya kushoto huyu,yeye atacheza kama Edy Lunyamila).


Reserves: Mkama P(GK),Mzalendo Halisi,Amwanga,Kana Ka Nsungu,KGM,Invincible,Alpha na Pasco…


Manager wa timu atakuwa Nziku akisaidiwa na mzee mzima Ben na YourNameIsMine(kocha wa makipa).


Kamati ya Ufundi itaongozwa na Mzee Mwanakijiji akisaidiwa na Mzee wa Gambosh Nyani Ngabu,wajumbe wengine wa kamati watakuwa ni: Rev.Kishoka,Mkandara,FMES,Kuhani,Mkandara na Mpaka Kieleweke.


Kamati ya saidia JF FC ishinde itaongozwa na Mama akisaidiwa na First lady,pia watakuwepo Belinda Jacob.Kelly01,Neemah,Philemon Michael,GT,Balantanda mwenyewe,Susuviri ,Son of Alaska,Mtanzania,Nyambala,Mwikimbi,Mbu na Maxence Mello…


YALE YALE MAMBO SIMBA NA YANGA.......SIE PRISONS,MTIBWA TUNAITAJI KAZI

Hapa hakuna cha Simba na Yanga wala Prison,Mtibwa sijui Kariakoo Lindi wala Mji Mpwapwa...Hii ni JF FC-The Dream Team ambayo wachezaji wake wamechaguliwa kutoka Timu mbalimbali zilizomo humu ndani ya JF.....Haya ya Kamati ya Ufundi yasikutishe,ni vijimambo tu vya kuchochea ushindi.....Nina Imani sana na Timu hii jamani
 
Bila kumsahau mganga wa timu na tunguli zake, mlozi mkubwa Nyani Ngabu akisaidiwa na cup-muhogo/cup-kiazi wake Kelly01...

SAsa hizo 2nguli wataweza kuzichanganya kweli au wataishia ktk kukumbatiana na mabusu knd mbele? Tukistuka kipindi cha kwanza 2shapewa dozi ya idadi ya vidole vya mkono m1!!!!

Tehe heeeee!!!!
 
Balantanda

Good imagination nilipokuwa kijana nilikuwa nacheza kama kiungo mzuiaji, kaumri kameenda lakini soka bado lipo kwa sasa nacheza na veterani wenzangu kama mkoba (sentahafu) si unajua tena pumzi...

Hii ni team ya ushindi...
 
Kwa wale walioshiriki umiseta ya 1988 nilikuwa kwenye timu ya football kanda ya mashariki....hii thread imenikumbusha mbali...kudos JF!
 
MIMI KAMATI,ya saidia JF,ishinde is not my cup of tea,me has enough benjamins to be the rightful SPONSOR/MFADHILI of team JF
 
Balantanda!
You must be creative kwakweli. Nafikiria jinsi ulivyokaa chini na kuipata hii JF FC Dream team.
 
Plz timu manager, Ab Tchaz akipona hernia next time you need to include him.
 
SAsa hizo 2nguli wataweza kuzichanganya kweli au wataishia ktk kukumbatiana na mabusu knd mbele? Tukistuka kipindi cha kwanza 2shapewa dozi ya idadi ya vidole vya mkono m1!!!!

Tehe heeeee!!!!

😀😀😀...Mbavu sina lol
 
Sasa Gembe mmemtosa?

Gembe hajatoswa mkuu,nina uhakika atakuwepo kwenye kikosi kingine kitakachotajwa hapo baadae..Tumeona tuanze na timu hii kwanza
 
Plz timu manager, Ab Tchaz akipona hernia next time you need to include him.

Ab ana nafasi kubwa sana ya kuitwa kikosini,ngoja tusubiri tu apone,pia itategemea na ushauri wa Daktari anayemtibu
 
Balantanda!
You must be creative kwakweli. Nafikiria jinsi ulivyokaa chini na kuipata hii JF FC Dream team.
The thing is,make it happen au mnasemaje jamani?Kwasababu faida za michezo kila mtu anazijua siyo unabuni/tunabuni kitu halafu kinaishia kubakia katika maandishi;tutekeleza ili watu waone kitu halisi na wafaidike nacho kwa upande mwingine.
 
Plz timu manager, Ab Tchaz akipona hernia next time you need to include him.

Wewe mtu nakutafuta kama nanihino!!!!...Hernia ishapona toka Scolari atimuliwe.Si unaona matokeo yake?
 
Mie nilicheza KAMISETA,UMISHUMTA na FC LEOPARD naona umenisahau Striker wa nguvu
 
Back
Top Bottom