JF-get together party Disemba 2018

Sioni shida sababu hata real Id's zetu hazijaandikwa jf names bali zimeandikwa our real names... kwangu mimi sio big issue ila nilikua nasemea kwa wengine ambao hawata taka kutambulika.
@Madam B ameshanipa utaratibu kuhusu wasiotaka Id zao zijulikane kama wamechangia. Ukishatuma pesa unaenda kwa message za kawaida unamwambia jina lako utakaloingia ukumbuni siku hiyo kwa sababu sio laIma tukujue kwa Id yako humu.
 
@Madam B ameshanipa utaratibu kuhusu wasiotaka Id zao zijulikane kama wamechangia. Ukishatuma pesa unaenda kwa message za kawaida unamwambia jina lako utakaloingia ukumbuni siku hiyo kwa sababu sio laIma tukujue kwa Id yako humu.
Sawa ila mimi siku hiyo naomba nikutambue kua huyu ni Mzigua90 na wewe utanitambua....
 
Mimi nataka kutuma kupitia wakala,msg siwezi kuwa nayo, nikikutajia jina la wakala haitoshi kuthibitisha?
Hiyo nayo ipo.
Nikihakikisha kweli imeingia na jina la wakala limetokea.
Unaingizwa tu....lol!!!

Unajua hii thread huwa tunai-edit kila mara.
Ni muhimu kurudi kuisoma ili uone kilichoongezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…