Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
That's my girlWewe tena kipenzi changu Sultan wangu lazima unilipie[emoji7][emoji7][emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's my girlWewe tena kipenzi changu Sultan wangu lazima unilipie[emoji7][emoji7][emoji7]
Hivyo vipoWaambieni waandaji wafanye yote lakin kusikosekana Nyagi,Glandz au Value
Ngoja nianze kufanya maandalizi aiseee... Vipi mama ushalipa weweHivyo vipo
Hubby kaishanilipia!Ngoja nianze kufanya maandalizi aiseee... Vipi mama ushalipa wewe
Nakazia...Naomba Party ikiwezekana kuanzia saa kumi ianzie garden watu tupate picha mbili tatu na maua yetu akina Witnessj,madame B,mzigua akina sweetie ikifika saa sita tuhamie ndani sasa ukumbini hito ndio mpaka asubuhi ni mwendo wa mauno tu ndani humo
Shiiiiiiit WTF he do.... Jamaa naye anakimbelembele sanaHubby kaishanilipia!
Hahahaha kuna zile zipo kama udi zinamarashi mazuri huku mbu wanadondoka tuHilo eneo haina mbu na wakitokea wakawepo siku hiyo tutatumia dawa.
Anatunza ile code ya "ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO"Shiiiiiiit WTF he do.... Jamaa naye anakimbelembele sana
[emoji9][emoji9][emoji9]That's my girl
Hiyo kazi ya makondakta bwana ambao ndio sisiAnatunza ile code ya "ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO"
Haaahaaaaa....chizi weHiyo kazi ya makondakta bwana ambao ndio sisi
Kiongozi natumia sim mdogo Na mbovu. Ndio maana ninaandika errors. Hapa juzi kati nilipoteza sim niliyokua natumia. That's why Nina muda sijaanzisha madam ya maana yoyoteI real apreciate you boss but make sure when you put comment in English language try to minimize if not to remove all the typing error... Good day boss
Najifunza kiingereza
Pole sana mkuu fanya mchakati mtafute Witnessj akupe note 8 yake ambayo haitumii ileKiongozi natumia sim mdogo Na mbovu. Ndio maana ninaandika errors. Hapa juzi kati nilipoteza sim niliyokua natumia. That's why Nina muda sijaanzisha madam ya maana yoyote
Sema nini hutakiwi kukosa on Event uje kudamshi kama kote vile [emoji3][emoji3]Haaahaaaaa....chizi we
Dogo mbona mnamawazo ya kimaskini ? Nani awatapeli hivyo vinoti vyenu vitatu vyenye pichs ya tembo vilivyolowana jasho na shomboMkuu hauna tofauti na Wale Waganga wanaotutumia namba zao kwenye simu zetu ili tuwatumie hela japo hatuwajui, hakuna mtu atafanya ivo.
Nashauri hiyo Party ifanyike kwenye eneo la wazi mfano Coco. Baada ya hapo watu kama watataka kwenda Ukumbini, watakwenda kwa gharama zao
Wajanja wataingizwa mjini kwenye Uzi huu
Mimi sichangii part yenyewe inaamashariti sana
Mimi tena...ntapiga wavuu kama wa Nick Minaj ...si ilimradi black?nisiharibu codes!Sema nini hutakiwi kukosa on Event uje kudamshi kama kote vile [emoji3][emoji3]
Sawa mkuu, utalipiwa.Nilipie Mimi mkuu
Mamamaaaaa hapo kwenye wavu itakuwa hatari unaweza kuja kutuvua misamaki mikubwa kama sisi vile maana naona kabisa lengo la wavu yako ni kuja kutuvua tuMimi tena...ntapiga wavuu kama wa Nick Minaj ...si ilimradi black?nisiharibu codes!