Hapana yuko sahihiHuyu mdau hajui kusoma alama za nyakati unawakumbusha watu kusali kwenye mikakati ya starehe,sawa sawa na kwenda club kuwaambia watu muziki haramu.
Au kuwakataza watu kuvuta bangi wakati wewe unavuta sigara.
Huu ni uhayawani.
Sasa bibie nakutuma umkumbushe kwamba mambo hayaendi hivyo. Awaache na mikakati yenu....!
Haki tena kakaa...wendo hajambo.....[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kumbukumbu yako ni photographic Raynavero,nimekuvulia kofia mama, hahahaaaaHaki tena kakaa...wendo hajambo.....[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hayuko sahihi hata kidogo.Hapana yuko sahihi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapana kisa kilinigusaa..maneno yako ya Leo yamenikumbusha madrasatu Shamsiyaaa mwanayamala B kwa mzee mbanje Allah (s.w)amuweke rehmaani....Kumbukumbu yako ni photographic Raynavero,nimekuvulia kofia mama, hahahaaaa
Ni Wande anaitwa, Hajambo yuko zake shule saizi, asante kumkumbuka
[emoji23] [emoji23]Hahahahahaaa.
Aisee! Wajichague tu wanaume wa dar na wanawake wa dar! Mi naona ingekuwa vizuri taarifa ingetoka mwezi wa nne huko, tungechagua mkoa, mfano dodoma iko katikati, wanajamii forum wa mara, kigoma, kagera, iringa na wengineo ni rahisikufika. Tena hata uwanja ule wa mpira tunaujaza kwa michezo mbalimbali, na kukodi wanamziki wa kutupa burudani, hiyo ya watu 70 mtaishia kunaniliana tu......... I 'm Sorry.....!!Sasa jf ina mamilioni ya watu halaf party ni watu hamsini,sijaona logic hapo...kama mlikuwa serious na party yenu mlitakiwa mkusanye michango mjue idadi halaf ndio mtafute venue ya kutosha watu waliolipia.
Otherwise bora mjichague watu 50 mkutane
Next time mkuu tutaangalia eneo lingine. Hata Mimi Dodoma naafikiAisee! Wajichague tu wanaume wa dar na wanawake wa dar! Mi naona ingekuwa vizuri taarifa ingetoka mwezi wa nne huko, tungechagua mkoa, mfano dodoma iko katikati, wanajamii forum wa mara, kigoma, kagera, iringa na wengineo ni rahisikufika. Tena hata uwanja ule wa mpira tunaujaza kwa michezo mbalimbali, na kukodi wanamziki wa kutupa burudani, hiyo ya watu 70 mtaishia kunaniliana tu......... I 'm Sorry.....!!
You made my day Raynavero..........[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapana kisa kilinigusaa..maneno yako ya Leo yamenikumbusha madrasatu Shamsiyaaa mwanayamala B kwa mzee mbanje Allah (s.w)amuweke rehmaani....
Kwa nini jamani[emoji2] [emoji2] [emoji2]You made my day Raynavero..........
Aamin Mola Ampe kauli thaabit
Wewe unanifaa bila shaka ![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hapana kisa kilinigusaa..maneno yako ya Leo yamenikumbusha madrasatu Shamsiyaaa mwanayamala B kwa mzee mbanje Allah (s.w)amuweke rehmaani....
Hakuna kitu kama hicho!...mambo yote dasaramuNext time mkuu tutaangalia eneo lingine. Hata Mimi Dodoma naafiki
Dodoma hukooooNext time mkuu tutaangalia eneo lingine. Hata Mimi Dodoma naafiki
ThanxxNext time mkuu tutaangalia eneo lingine. Hata Mimi Dodoma naafiki
Khaaaa!!!
Uje nao.
Mie nitakuwa muweka siti zenu
Ulivoitamka hiyo Madrasatu Shamsiyya kwa hukm zake mie huku hoiπππKwa nini jamani[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hii italeta mvutano, wa kigoma watataka kigoma huko! Mwisho tutaunda team za jamii mwanza, jamii forum mbeya nk, tusifosi mambo.Hakuna kitu kama hicho!...mambo yote dasaramu
Kaka unaniwekea kiwingu ujue...!?Ulivoitamka hiyo Madrasatu Shamsiyya kwa hukm zake mie huku hoiπππ