JF-get together party Disemba 2018

Ok hii ni nzuri zaidi. Sawa kiingilio changu kitumike kama support yangu kwenye hii party.

Naona wewe ni mtu wa pili kuchomoa.

Utakuwa safarini kweli au?

Ila hii party hii....ikifanyika kweli na ikiisha salama bila mtu kuumia nitashangaa sana.

Hopefully waliosema wataenda ni wataenda kweli.

I’ll be there 100%.
 
Naona wewe ni mtu wa pili kuchomoa.

Utakuwa safarini kweli au?

Ila hii party hii....ikifanyika kweli na ikiisha salama bila mtu kuumia nitashangaa sana.

Hopefully waliosema wataenda ni wataenda kweli.

I’ll be there 100%.
Nasafiri kweli. Btw kwanini unasema ikifanyika na kuisha salama utashangaa? Whats going on?
 
Naona wewe ni mtu wa pili kuchomoa.

Utakuwa safarini kweli au?

Ila hii party hii....ikifanyika kweli na ikiisha salama bila mtu kuumia nitashangaa sana.

Hopefully waliosema wataenda ni wataenda kweli.

I’ll be there 100%.
Nyani Ngabu kwanini lakini umekazana kutoitakia mema hii party?
Wewe sio mgeni humu Jf na party zote 3 zilizopita ulizisikia na wala hakuna vita au kitu kibaya kilichotokea.
Haya maneno yako unayoleta ya sijui nani kafanya nini, sijui ikiisha salama bila mtu kupigana utashangaa,
Why ugomvi na huyo mtu mmoja ukazane kutoa kasoro party yote.

Sisi tumekubali kubeba lawama, itokee vita, vurugu, fumanizi, magombano sijui mabomu....bii mizigo yooote tutaibeba sisi ila suala la kusema sijui kutatokea nini na nini naomba uachane nazo.

Baraka za kufanya Party tumepewa na Jamii media chini yake kaka Maxence Melo na dada AshaDii.
Samahani, tunaomba tufanye party salama na tumalize salama.
Changamoto zipo kwa kila jambo si hapa tu mpaka katika maisha yetu halisi


Tunakubali kubeba lawama.
Ila naomba punguza vitisho ambavyo havina tija katika kuelekea kuadhimisha hii party.
Asante.
 

Haya.

Si kwamba siitakii mema. Nataka sana ifanyike na nataka fulani na fulani waje.

Nami nitakuja na baadhi ya watu wakiwepo it’s on. Bombs away.

Adios.
 
Madame achana na ngabu hujamjuaga kua ana kichaa chake huyu msukuma?

Party itafanyika salama mwaya tena na atanilipia ngoja nimshike shati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…