OkayTwende chemba kaka shemeji.
Kuna hii huku inakusubiriSitaki kuamini na hii nimeikosa. Sijui nimezaliwa siku gani mimi.
Hujambo kidogo espyAbee!
Umesoma kweli mwanzo mkuu au umerukia comments tu? Soma mwanzo wa thread kila kitu niko hapoMIMI MGENI HUMU, NAONA WATU WANA GONGA REPLY ZA KUFAHAMIANA NA KUALIKANA!! KWANI HIYO PARTY ITAKUWA WAPI?, LINI?
sumbai anapenda nimendewe, ile inampa nguvu kwamba ana mke cute na anajua kutunza mke, kumendewa si mchezo!!!Kikubwa yeye aache kumendea wake za watu. Mbona mimi nipo single hanioni?
Ngoja nikasome mlichoongea.Twende chemba kaka shemeji.
Mimi namendea?? Mbona dadashemeji hunitetei....Kikubwa yeye aache kumendea wake za watu. Mbona mimi nipo single hanioni?
Kaka shemeji siyo wewe, ni yule Mzee nani nimempa onyo.Mimi namendea?? Mbona dadashemeji hunitetei....
Sema kweli?Kuna hii huku inakusubiri
Wasije tuu wakanipa michango wakijua mie ndiyo wewe.Hahahaha
Na tuvae nguo sare ili kuwachanganya wahudhuriaji
Mimi naomba nivae wigi. Nitacheka sana nikimwona mtu kanyoa upara teh teh.[emoji12] [emoji12]Wala hakuna tabu mwaya....au mmoja avae wigi, mwingine anyoe para...kwi kwi kwi!!!
Kuna wengine vipara vinawatoa damshi.Mimi naomba nivae wigi. Nitacheka sana nikimwona mtu kanyoa upara teh teh.[emoji12] [emoji12]
Hahahaaa wengine sura za baba tukinyoa upara tunafanana na wazee wa kichina wale wanaonyoa upara.Kuna wengine vipara vinawatoa damshi.
ila sio kwa hiki kichwa changu....naona mtacheka ukumbu mzima.
Haya mawigi haya....yanatusitiri wengi jamani.
Asante mzungu
Eti nitapendeza.Hahahaaa wengine sura za baba tukinyoa upara tunafanana na wazee wa kichina wale wanaonyoa upara.
Ila wewe mcute utapendezaa