Mzee mwenzangu hii ndo fursa ya kujipatia vimchepuko. Mi niko bize nahaha kutafuta jeans lililochanika gotini.Haya masuruwale ya vitambaa na mashati mekundu na njano tunaweza kutoka bilabila wallahLive band: Tanzania yetu ndiyo nchi ya furaha.
Dereva wa mkuu wa mkoa atakuwepo!
Madame B kumbatio la chumvini je?
Mzee mwenzangu hii ndo fursa ya kujipatia vimchepuko. Mi niko bize nahaha kutafuta jeans lililochanika gotini.Haya masuruwale ya vitambaa na mashati mekundu na njano tunaweza kutoka bilabila wallah
Hapo kwenye viatu itabidi tukae kama kamati. Hizi mokasini zetu zimekaa kama mkuki moyoni tunaweza kuchekesha wasiochekaHaswaa, niko bize na vinyimbo vyao vya yo yo yo naangalia uvaaji wa vijana wanaoimba hizo nyimbo zao ili angalau nipate pa kuanzia. Nadhani nitavaa na miwani mikubwa ile myeusi. Bado sijaamua kuhusu viatu. Tuko pamoja mzee mwenzangu.
Nipo mbali sana ndugu. Nilipenda sana kuwa mmoja wapoWhy
Njoo tukujue ndugu yangu wa likes
Aswaa pamoja na picha zootenawaonea hadi donge kwa watakao hudhuria duuh mtaenjoy sana
mimi nawaombea tu party iwe yenye amani tele
ila msisahau kutupa mrejesho wa party baada ya kuisha
Vipi updatesWaweza vaa hata nguo nyeusi kama majambazi ya sinema zetu
Mzee mwenzangu hii ndo fursa ya kujipatia vimchepuko. Mi niko bize nahaha kutafuta jeans lililochanika gotini.Haya masuruwale ya vitambaa na mashati mekundu na njano tunaweza kutoka bilabila wallah
Poa, nitatuma.Karibu.
Unaruhusiwa
Naskia utakuwepo kwenye party[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha iringa[emoji23][emoji23]men haoni shida kvaa hizi colors..alafu trauza panaa
Karibu sana EnglishladyPoa, nitatuma.
Swahiba utakuwepo?Siku zinakimbia 15/12 si Weeknd ya keshokutwa tu?
Shemeji nikija utanitunzia siri?Karibu sana Englishlady
Ndo yule ulinambia alikutoa bikira?😂😂😂😂umenikumbusha iringa😂😂men haoni shida kvaa hizi colors..alafu trauza panaa
Ndo maana mzee Mtambuzi kanambia "mzee mwenzangu hiki sio kikombe chetu". Ngoja nikae pembeni utanisimulia shem... afu njoo inbox basi unipe no za laaziz wangu. Nshanunua bastola niko vizuriMie kama unavyonijua....sina siri.
Yote nayamwaga hadharani
Nilitaka kuuliza nyie wahenga na Mtambuzi mtakuwepo??Ndo maana mzee Mtambuzi kanambia "mzee mwenzangu hiki sio kikombe chetu". Ngoja nikae pembeni utanisimulia shem... afu njoo inbox basi unipe no za laaziz wangu. Nshanunua bastola niko vizuri