JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Dont say I didnt warn you. Unamkabidhi vipi pesa mtu ambaye hujawahi muona na kwenye mitandao anatumia ID fake? Bora hata angekuwa mwanaume. Hawa wanawake tunaokutana nao bara barani, unamtumia elfu kumi na tano ya nauli aje kwenye tukio anakutapeli, hela harudishi na anatoa udhuru kibao, then hao hao leo ndio unakabidi 2,100,000 cash mkononi? Unategemea muujiza gani hapo zaidi ya kuwa dissapointed?
Mkuu usipate shida tunajuana humu sana! Party ni mwendelezo tu...so hakuna wa kutapeli hapa!

Ondoa shaka, peace[emoji111]
 
Back
Top Bottom